Wasiwasi: Mbowe alipopata Uenyekiti Chadema akaondoa UKOMO, Je akupata uRais wa JMT hatakuwa Rais wa maisha kama North Korea?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Watanzania wengi wanahoji kama Uenyekiti wa Chadema tu ulimtoa Imani na kuondoa Ukomo wa Uongozi itakuwaje Siku akiingia Ikulu?!

Wengi wanadhani ataondoa Mihula ya Rais Kwenye katiba na kufanya iwe nchi ya kifalme Warithi wa uRais wawe watoto wake

Mlale unono πŸ˜€
 

Tuache kukurupuka Dr Slaa kashasema wazi kwamba wenyewe ndio waliondoa okomo sio Mbowe tubishane kwa hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…