Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
kama uongozi wa Klauds upo makini umpe Bonge Kipindi... ha-boi kabisa huyu jamaa... Wasiwasi hapana labda apewe kazi ya KUFAGIA YAAAAAANI ANA-BOA STIFF...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama uongozi wa Klauds upo makini umpe Bonge Kipindi... ha-boi kabisa huyu jamaa... Wasiwasi hapana labda apewe kazi ya KUFAGIA YAAAAAANI ANA-BOA STIFF...
kama gerald hayupo sisikilizi tena hichho kipindi
Wewe unasikilizaga Clouds FM?
Labda ndio maana wazazi wake walimbatiza jina la Wasiwasi (WHAT A NAME).... I hope sio mtoto wa Marehemu Wilson Mwabulambo....huyu alikuwa chuma na ni mmoja wa wanafunzi wa UDSM waliogoma mika ile 1960s akaambulia mboko za Mwalimu JKN
du!!hapo umemaliza kila kitu
vipi kuhusu wale wa jioni na kibonde wao!!kwa kweli sioni kwa nini wako pale,umbeya wanaopiga pale hauna mashiko!