wasiwasi wangu juu ya katiba mpya ambayo tutapata

wasiwasi wangu juu ya katiba mpya ambayo tutapata

ngararumo

Senior Member
Joined
Oct 17, 2011
Posts
173
Reaction score
43
ndugu wana JF hatua tuliofikia sasa hivi kwenye mchakato wa katiba mpya ni kukutana kwa mabaraza ya katiba na kutoa maoni waliopendekezwa na wananchi kuhusu rasimu ya katiba mpya iliyotolewa na tume ya warioba...mabaraza ya katiba ni kwaaajili ya kufikisha maoni yaliotolewa na wananchi kuhusiana na rasimu ya katiba mpya iliotolewa na tume ya mabadiliko ya katiba..kitu kilichonishtua nimerudi likizo nipo kijijini rasimu za katiba zimetolewa na serikali na katika kijiji chetu zimetolewa rasimu 40 ambazo wananchi wanatakiwa waende waketi hapo apo kijijini wasome alafu watoe maoni wao...hili naona litanyima fursa kwa wananchi kuweza kupata kujua haswa kwa nini kilichoandikwa kwenye hiyo rasimu.kama tunavojua kuwa katiba ni mkataba kati ya watawala na watawaliwa na sisi kama watawaliwa tunatransfer power kwa viongozi lakini haimaanishi sisi tunapoteza power na katiba yoyote ili iwe na legitimacy acceptance of the people lazima itokane na watu wenyewe..wasiwasi wangu mwingine ni juu ya CCM kuonekana kudominate process nzima ya katiba kwa maslahi yao binafsi na si kwa maslahi ya wananchi..kuna watu wengi hapa kijijini hawajui nini maana ya katiba na katiba itawasaidiaje wao kama wao..utaingiaje mkataba huku hujui mkataba wenyewe unakusaidiaje...serikali imekimbilia kwenye swala la katiba bila ya kutoa elimu ya kutosha kwa wananchi wao na kuna dalili ya kupata katiba mbaya kuliko ambayo tulokua nayo kwani rasimu ni only one step of the process na wasilisha
 
Mkuu hilo lisikupe shida sana, labda tu kama ikitokea tume akaamua yenyewe kujichakachua (kwani ndio yenyewe iliyotoa rasimu), japo ni vigumu sana ukiangalia na muundo wenyewe wa tume ulivyo. Ukweli uko hivi, kwanza si kila maoni yote yatawekwa ila yale tu yenye uzito na maslahi kwa ustawi wa taifa, pili lazima maslahi/matakwa ya pande zote za muungano yazingatiwe. Kwa mfano hata kama wa bara wengi watasema muungano wa serikali 2, bado tume kwa mujibu wa miongozo yake itaangalia pia na wazanzibari wengi wamesemaje. Kimsingi tume inafanya counter-balance na kwa kuzingatia mahitaji ya sasa na ya muda mrefu ya taifa. Ukumbuke kwamba baada ya mabaraza ya kata na wilaya kuchambua rasimu na kutoa mapendekezo, tume itayapitia na kuandika rasimu ya pili itakayopelekwa kwenye bunge la katiba. Kwa hio uwingi wa maoni sio hoja saaana. Tume inalijua hilo na ndio maana hua inazingatia zaidi uzito wa hoja zenyewe kwa maslahi ya muda mrefu ya taifa. Mimi kimsingi nina imani na tume hasa baada ya rasimu kutoka, na ninaamini tume inafahamu kwamba yapo makundi (hasa vyama vya siasa na madhehebu ya dini) yatashinikiza na hata kuwaambia watu watoe maoni ya namna gani kwa maslahi ya makundi yao.
 
Back
Top Bottom