Wasoma habari katika Radio na TV, hii ni sahihi?

Wasoma habari katika Radio na TV, hii ni sahihi?

radius

Member
Joined
May 4, 2012
Posts
8
Reaction score
3
Sio mara moja au mbili bali ni mara kadhaa ninapo sikiliza taarifa au kuangalia runinga kwa ajili ya kupata habari huwa ninawasikia watangazaji wanatamka kwa mfano ...katika ajali hiyo abiria X wameweza kupoteza maisha yao... au katika shambulio hilo ....wanawake na watoto waliweza kupoteza maisha ya ... labda uelewa wangu ni mdogo kwani hao wanaosmekana kuweza kupoteza maisha yao walipanga kuyapoteza? au kwa maana nyingine hao waliopoteza maisha walikuwa na mawasiliano na ajali au wafanya mashabulizi??i ina maana kwa kufikia vifo vyao ni mafanikio kwao? PLEASE HELP TUBORESHE HABARI
 
Sio mara moja au mbili bali ni mara kadhaa ninapo sikiliza taarifa au kuangalia runinga kwa ajili ya kupata habari huwa ninawasikia watangazaji wanatamka kwa mfano ...katika ajali hiyo abiria X wameweza kupoteza maisha yao... au katika shambulio hilo ....wanawake na watoto waliweza kupoteza maisha ya ... labda uelewa wangu ni mdogo kwani hao wanaosmekana kuweza kupoteza maisha yao walipanga kuyapoteza? au kwa maana nyingine hao waliopoteza maisha walikuwa na mawasiliano na ajali au wafanya mashabulizi??i ina maana kwa kufikia vifo vyao ni mafanikio kwao? PLEASE HELP TUBORESHE HABARI
Katika ajali hiyo abiria X walipoteza maisha yao pia katika shambulio hilo wanawake na watoto walipoteza maisha.
 
Sio mara moja au mbili bali ni mara kadhaa ninapo sikiliza taarifa au kuangalia runinga kwa ajili ya kupata habari huwa ninawasikia watangazaji wanatamka kwa mfano ...katika ajali hiyo abiria X wameweza kupoteza maisha yao... au katika shambulio hilo ....wanawake na watoto waliweza kupoteza maisha ya ... labda uelewa wangu ni mdogo kwani hao wanaosmekana kuweza kupoteza maisha yao walipanga kuyapoteza? au kwa maana nyingine hao waliopoteza maisha walikuwa na mawasiliano na ajali au wafanya mashabulizi??i ina maana kwa kufikia vifo vyao ni mafanikio kwao? PLEASE HELP TUBORESHE HABARI

Watangazaji wa TVs na Redio hizo hawatumii kiswahili sanifu.
 
Sio mara moja au mbili bali ni mara kadhaa ninapo sikiliza taarifa au kuangalia runinga kwa ajili ya kupata habari huwa ninawasikia watangazaji wanatamka kwa mfano ...katika ajali hiyo abiria X wameweza kupoteza maisha yao... au katika shambulio hilo ....wanawake na watoto waliweza kupoteza maisha ya ... labda uelewa wangu ni mdogo kwani hao wanaosmekana kuweza kupoteza maisha yao walipanga kuyapoteza? au kwa maana nyingine hao waliopoteza maisha walikuwa na mawasiliano na ajali au wafanya mashabulizi??i ina maana kwa kufikia vifo vyao ni mafanikio kwao? PLEASE HELP TUBORESHE HABARI
Asante sana radius. Hata mimi nakerwa sana na matumizi mabaya ya neno 'kuweza'. Watangazaji wawili wa star tv ndio vinara wa matumizi mabovu ya 'kuweza'.
 
Last edited by a moderator:
Wapo sawa kabisa, ndiyo maana watangazaji wa kiingereza wanasema mfano "at least 10 civilian are reported dead in the clashes between M23 insurgency and DRC army"
 
Back
Top Bottom