Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Moja kwa Moja kwenye mada!
Ukiskiliza Tabiri za Hali ya Hewa kwenye Vyombo vingi vya Habari ni kawaida kuskia sentensi kama hizi "......Maeneo ya Pwani..... Maeneo ya kati ya Nchi pamoja na Kusini kwa Mkoa wa Morogoro.... kutakuwa na Mvua za Hapa na Pale..... kutakuwa na Mvua Kiasi.... na vipindi vifupi vya Jua...." Aina hii ya Uchaguaji wa Maneno ama Maelezo ya aiona hii haimsaidii Mwananchi wa Kawaida....
Mkulima, Mmachinga, Mfugaji kudadavua specifically nini kimelengwa hapo! Ni kama Maelezo hayo wanayatoa kwa ajili yao wenyewe watumishi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa. Hizi ni Jiografia za darasa la 4 huko lkn sio wote walisoma na si wote wanakumbuka kwamba NJOMBE na IRINGA ni Nyanda za Juu kusini!
Sio wananchi wengi wanaelewa inapotajwa KUSINI KWA MKOA WA MOROGORO.... Vipindi vifupi vya Jua..... Mvua za Hapa na pale... athari zake ni pamoja na Wananchi kushindwa kufanya maamuzi juu ya kile walichokiskia. Sijui kwa nini hawawezi kusema mf tu.... mikoa ifuatayo kesho itapata Mvua... Tanga, DSM, Pwani na Kagera.... nk...
Nadhani wanahitaji kubadilika kwa Maslahi wa Wanannchi wote.
Ukiskiliza Tabiri za Hali ya Hewa kwenye Vyombo vingi vya Habari ni kawaida kuskia sentensi kama hizi "......Maeneo ya Pwani..... Maeneo ya kati ya Nchi pamoja na Kusini kwa Mkoa wa Morogoro.... kutakuwa na Mvua za Hapa na Pale..... kutakuwa na Mvua Kiasi.... na vipindi vifupi vya Jua...." Aina hii ya Uchaguaji wa Maneno ama Maelezo ya aiona hii haimsaidii Mwananchi wa Kawaida....
Mkulima, Mmachinga, Mfugaji kudadavua specifically nini kimelengwa hapo! Ni kama Maelezo hayo wanayatoa kwa ajili yao wenyewe watumishi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa. Hizi ni Jiografia za darasa la 4 huko lkn sio wote walisoma na si wote wanakumbuka kwamba NJOMBE na IRINGA ni Nyanda za Juu kusini!
Sio wananchi wengi wanaelewa inapotajwa KUSINI KWA MKOA WA MOROGORO.... Vipindi vifupi vya Jua..... Mvua za Hapa na pale... athari zake ni pamoja na Wananchi kushindwa kufanya maamuzi juu ya kile walichokiskia. Sijui kwa nini hawawezi kusema mf tu.... mikoa ifuatayo kesho itapata Mvua... Tanga, DSM, Pwani na Kagera.... nk...
Nadhani wanahitaji kubadilika kwa Maslahi wa Wanannchi wote.