Cathylin 2002
Member
- Jun 2, 2024
- 31
- 128
Good afternoon Tanzanians
Nina Mambo machache ya ku wauliza.
Why wasomi na vijana wa Tanzania hawana moyo wa kuthubutu kabisa wapo busy na Simba na yanga hawajui sheria katiba hawajui hawajui umuhimu wa siasa katika maisha Yao
Mawazo ya vijana wa Tz awe lottery degree holder (useless degree)awe drop out au village Teenager wanawaza kua chawa wa serikali kam ndio exist ya maisha magumu?
Kenya vijana wanajielewa sana why bongo ?
Nina Mambo machache ya ku wauliza.
Why wasomi na vijana wa Tanzania hawana moyo wa kuthubutu kabisa wapo busy na Simba na yanga hawajui sheria katiba hawajui hawajui umuhimu wa siasa katika maisha Yao
Mawazo ya vijana wa Tz awe lottery degree holder (useless degree)awe drop out au village Teenager wanawaza kua chawa wa serikali kam ndio exist ya maisha magumu?
Kenya vijana wanajielewa sana why bongo ?