Lord OSAGYEFO JF-Expert Member Joined Feb 19, 2021 Posts 3,085 Reaction score 4,890 Jul 28, 2021 #1 Hebu angalia alichosema msomi huyu kuhusu Chanjo ya Corona katika Awamu ya Magufuli na Awamu ya SAMIA. Herufi A wakati wa MAGUFULI Herufi B wakati wa SAMIA
Hebu angalia alichosema msomi huyu kuhusu Chanjo ya Corona katika Awamu ya Magufuli na Awamu ya SAMIA. Herufi A wakati wa MAGUFULI Herufi B wakati wa SAMIA
KingCobra95 JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 3,249 Reaction score 5,863 Jul 28, 2021 #2 Chanjo ni salama...Ukinywa haidhuru...Kiwango cha athari ni kidogo Sana. Sijui nichukue kauli ipi All they are saying is "Trust me bro"
Chanjo ni salama...Ukinywa haidhuru...Kiwango cha athari ni kidogo Sana. Sijui nichukue kauli ipi All they are saying is "Trust me bro"
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Jul 28, 2021 #3 Huyu ni tapeli tu wala siyo msomi
M mgaka12 JF-Expert Member Joined Mar 19, 2017 Posts 600 Reaction score 1,856 Jul 28, 2021 #4 Hawa ndo wasomi ambao serikali inasema tuwaamini na kuwakabidhi Afya zetu na za familia zetu