Wasomi wa afya na Wakemia Tanzania, mbona kimya kuhusu ugunduzi wenu wa dawa ya Coronavirus?

Wasomi wa afya na Wakemia Tanzania, mbona kimya kuhusu ugunduzi wenu wa dawa ya Coronavirus?

KOLOKOLONI

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
2,476
Reaction score
2,371
Nimefutilia mataifa mbalimbali kupitia mitandao naona madaktari na wakemia wakitaja dawa mbalimbali katika ugunduzi wa tiba ya Corona lakini Tanzania naona fofofo.

Sasa najiuliza pale Muhimbili University na Bugando mnajifunza kuosha vidonda tuu? Au ni vyuo vya ujenzi wa Maghorofa?

Hivi Tanzania tunasomesha wataalamu wa Afya au tunakaririsha watu jinsi ya kutoa dawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefutilia mataifa mbalimbali kupitia mitandao naona madaktari na wakemia wakitaja dawa mbalimbali katika ugunduzi wa tiba ya Corona lakini Tanzania naona fofofo.

Sasa najiuliza pale Muhimbili University na Bugando mnajifunza kuosha vidonda tuu? Au ni vyuo vya ujenzi wa Maghorofa?

Hivi Tanzania tunasomesha wataalamu wa Afya au tunakaririsha watu jinsi ya kutoa dawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi mimi ni mtaalamu nipo nimejifungia naendelea na utafiti mkuu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] labda wamesomea Umeme.
Nimefutilia mataifa mbalimbali kupitia mitandao naona madaktari na wakemia wakitaja dawa mbalimbali katika ugunduzi wa tiba ya Corona lakini Tanzania naona fofofo.

Sasa najiuliza pale Muhimbili University na Bugando mnajifunza kuosha vidonda tuu? Au ni vyuo vya ujenzi wa Maghorofa?

Hivi Tanzania tunasomesha wataalamu wa Afya au tunakaririsha watu jinsi ya kutoa dawa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh...!.
Heading ni Mheshimiwa Rais Magufuli Awakutanishe Maaskofu wakuu, Mashekhe wakuu, waende white house ya Magogoni wafanye Maombi ya siku 40

Lakini kwenye contents hakuna cha sala wa Mungu bali

Mheshimiwa Rais wakutanishe waganga maarufu wa kienyeji na Madaktari wabobezi wajadiliane namna tutakavyoweza kutengeneza Chanjo ya COVID-19

P
 
Lililotabiriwa linatimia... Huwezi kupingana na unabii, hata uwe kichwa ngumu vipi ila mwishoni tutaelewa tu. Njoo uchukue dunia yako Bwana.
 
Nimefutilia mataifa mbalimbali kupitia mitandao naona madaktari na wakemia wakitaja dawa mbalimbali katika ugunduzi wa tiba ya Corona lakini Tanzania naona fofofo.

Sasa najiuliza pale Muhimbili University na Bugando mnajifunza kuosha vidonda tuu? Au ni vyuo vya ujenzi wa Maghorofa?

Hivi Tanzania tunasomesha wataalamu wa Afya au tunakaririsha watu jinsi ya kutoa dawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali isilete mchezo kwenye hizi fani chemistry, biology na pharmacy hawa ndio wanaweza kugundua dawa wakiwezeshwa
 
Serikali isilete mchezo kwenye hizi fani chemistry, biology na pharmacy hawa ndio wanaweza kugundua dawa wakiwezeshwa
Ni muda mrefu pia serikali kupitia wizara ya Afya haija ajiri Wakemia sijui kwanini maana hao wakikaa na wafamasia meza moja hakishindikani kitu.
 
Back
Top Bottom