UVCCM Vyuo na Vyuo Vikuu kufanya Mkutano Mkuu maalum Machi 16, Dodoma

UVCCM Vyuo na Vyuo Vikuu kufanya Mkutano Mkuu maalum Machi 16, Dodoma

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
Jumuiya ya Umoja wa vijana wa CCM Taifa chini ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa Vyuo na Vyuo Vikuu Ndg. Mohammed Ali Kawaida inatarajia kufanya Mkutano mkuu maalum wa UVCCM Vyuo na Vyuo vikuu utakaokutanisha Viongozi wote wa mikoa yote wa vyuo na vyuo vikuu mkoani Dodoma tarehe 16 Machi, 2025 saa mbili asubuhi, katika ukumbi wa NEC - CCM Makao Makuu.

Mgeni Rasmi katika Mkutano mkuu huo anatarajiwa kuwa Ndg. Mohammed Ali Kawaida MCC) Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM na Mlezi wa Vyuo na Vyuo Vikuu Tanzania

Kauli mbiu ya mkutano huo mkuu maalum wa vyuo na vyuo vikuu ni; ”Wasomi tumekuelewa Dkt Samia Suluhu Hassan, Maendeleo tumeyaona, Dkt Samia Mgombea wetu 2025”

Wajumbe wote wa mkutano mkuu maalum wa vyuo na vyuo vikuu tunawakaribisha Dodoma.
IMG-20250313-WA0523.jpg
 
Tukiwa chuo tuliambiwa na kanjanja mmoja tunakaribishwa bungen ....ah kumbe fala kapewa na helaa sasa kuna ka ukumbi mle ndan ka Msekwa...wakat wa maswali nkauliza kwann Spika ana crush sana hoja za upizan ....duu kumbe tulitambulishwa sisi ni CCM...kuna nanga alinipiga jicho hiloooo kama anataka kunimeza...
 
🔴 WASOMI WANA JAMBO LAO DODOMA...!!

MKUTANO MKUU MAALUM WA VYUO NA VYUO VIKUU
📍 Mahali: Ukumbi wa NEC - CCM, Dodoma
📅 Tarehe: 16 Machi 2025
⏰ Muda: Saa 2:00 asubuhi
👤 Mgeni Rasmi: Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC)

#KaziNaUtuTunasongaMbele
#KijanaNaKijani
#TunazimaZoteTunawashaKijani
 

Attachments

  • IMG-20250315-WA0045.jpg
    IMG-20250315-WA0045.jpg
    86.7 KB · Views: 1
🔴 WASOMI WANA JAMBO LAO DODOMA...!!

MKUTANO MKUU MAALUM WA VYUO NA VYUO VIKUU
📍 Mahali: Ukumbi wa NEC - CCM, Dodoma
📅 Tarehe: 16 Machi 2025
⏰ Muda: Saa 2:00 asubuhi
👤 Mgeni Rasmi: Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC)

#KaziNaUtuTunasongaMbele
#KijanaNaKijani
#TunazimaZoteTunawashaKijani
well done,
kila la kheri 🐒
 
[emoji837] WASOMI WANA JAMBO LAO DODOMA...!!

MKUTANO MKUU MAALUM WA VYUO NA VYUO VIKUU
[emoji625] Mahali: Ukumbi wa NEC - CCM, Dodoma
[emoji413] Tarehe: 16 Machi 2025
[emoji354] Muda: Saa 2:00 asubuhi
[emoji185] Mgeni Rasmi: Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC)

#KaziNaUtuTunasongaMbele
#KijanaNaKijani
#TunazimaZoteTunawashaKijani
Yaani huyo Kawaida ndio awe mgeni rasmi wa wasomi kweli, sema hao ni machawa ya CCM yanayosoma vyuo vikuu.
 
Hao ni wajinga waende wakasome VETA watoe ujinga🐼
 
Back
Top Bottom