Wasomi wenye PhD Tanzania wametupa supplimentary ya Biashara na uchumi: soon Taifa litadisco

Wasomi wenye PhD Tanzania wametupa supplimentary ya Biashara na uchumi: soon Taifa litadisco

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Tulipoanza awamu ya tano nakukusanya wasomi wote mashauri nakuwaingiza wizarani na mashirika ya umma niliamini taasisi wanazoongoza zinakwenda kupiga hatua hasa yakimkakati endapo tu wasomi hao wataacha mentality za lecturers kwenye biashara na uchumi.

Miaka michache baadaye walioteuliwa hasa Dr and Prof wakaanza kuwa watu wamatamko na wengine kushindwa kabisa kutoa huduma kulingana na elimu zao. Wakaanza kugawa supp kwa wananchi bila kujua supp zikizidi Taifa linakata tamaa.

Leo hii baada ya miaka mitano hatuoni Jambo lolote jipya ambalo unaweza ukasema wasomi wameumiza kichwa kuliunda.

Ofcoz wengi wa wasomi hawa hawajawahi kuanzisha mradi wowote licha yakusimamia, wengi mradi mkubwa walioishi kuusimamia ni mradi wa kusomesha, Ni mradi wakutoa matokeo ya wangapi wamefeli na kufaulu, ni mradi wakushangalia kuona wanafunzi wanafeli.

Baada ya wasomi kukwama, baada ya wafanyabiashara wengi kupata supplimentary awamu ya tano na baada wasomi kushindwa kutenganisha biashara na mfumo wa dola yaani matumizi ya Polisi na vyombo vingine kukusanya kodi ndipo wanashtuka usingizini nakubaini wamelipeleka taifa kwenye disco.

Hii kufeli kumenifanya nichimbue nakugundua wasomi wetu wengi ni waajiriwa Tena wa vyuo, wamekuwa kwa kuamini kwenye supplimentary vyuoni, sasa wamehamiashia supp kwenye biashara na uchumi.

Tunalojukumu lakupambana na watu wanaoamini kwenye kufelisha wenzao na kutengeneza wasomi wanaojiuliza kwanini mwenzetu amesupp? Kama mwalimu yupo busy kujisifia amefelisha wanafunzi wangapi unadhani akipewa wizara atatamani kuona anaowaongozo wanafaulu?

Hii ndiyo iliyomfanya profesa mmoja nguli alipoteuliwa kusifia V8 na shangingi analotembelea, means kwa miaka yake yote na kwa elimu yake kubwa hakuwahi kujua Waziri ana benefits gani. Hakuwahi kujisimamia alikuwa anasimamiwa, hakuwahi kumiliki fedha alikuwa anamiliki mshahara, hakuwa kufanya Jambo lolote kubwa alikuwa anasubiri afanyiwe

Uchumi tuna supp

Biashara supp

Taifa linakwenda kudisco.
 
Hii makala ni ya kiwango cha juu kabisa, ilifaa iandikwe kwenye gazeti la mwananchi

Kiujumla, kama ulivyosema, hao Maprof na Drs, hawajawqhi kujiuliza kwanini wanafunzi wanasupp, wao wanaamin tu somo flan kuwa ni gumu na ni kosa wanafunzi kufaulu wote,

Tena wapo Waprof na Drs ambao hawafelishi kwa kuwapa supp wanafunzi, wao wanawapa tu "C" , hao wanafunzi wanawapenda sana, alafu kesho akiteuliwa kushika wadhifa fulan anawapa wafanyabiashara wote "C"

Elimu yetu imekwama mahali, haitengenezi watu wanaouliza Why and How
 
Utawala ulishindwa na bado unashindwa kutambua utofauti wa "ACADEMITIONALITY na PRACTICALITY"

Mtu anaweza akawa na PhD na akawa lecture mzuri sana darasani, ila field practicaly akawa kilaza tena boya kisawasawa na akashindwa hata na mtu mwenye Degree moja.

Wachache sana ambao ni wazuri kwa pande zote mbili, kama CAG mstaafu Dk Asad na Marehemu Dk Masumbuko Lamwai. Ila chaajabu ndio wanaonekana hawafai kwasababu ya ukweli na itikadi zao.
 
Kuna yule mmoja alisema anamshukuru jiwe kumtoa dampo yule bado ana classroom mentality hata akiwa anatoa hotuba hua mimacho inamtoka na mate yanaruka utadhani anawafokea wanafunzi.
 
Msijali mtakula makarai 😂😂😂 amna atakaefeli! Elimu sio ngumu kiasi hicho.

"Hii ndio misemo yao kwa kichaka cha kujiita uchumi wa kati"
 
Duh kumbe ni supp walinipiga kwenye genge langu sikuwahi kujuwa hilo ila ndio yenyewe 100% ya kutengeneza
 
Issue ikumbukwe wasomi wenyewe kwa sasa wanaongea nakufanya kile anachoka boss toaut na hapo unaacha v8
Sent

Sent
 
Back
Top Bottom