Wasomi wetu wamekuwa majizi je tumkabidhi nchi nani?

Wasomi wetu wamekuwa majizi je tumkabidhi nchi nani?

environmental

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2010
Posts
1,054
Reaction score
137
uongozi wa nchi ulitegemea sana wasomi lakini wasomi wetu ma PHDs zao wamekuwa majizi sasa msomi na muamifu ambaye hakusoma kutokana na uwezo waa familia yake lakini ni muadilifu na anafundishika akipewa nafasi nani anatufaa? ona Prof Mhalu/mahalu
 
Back
Top Bottom