and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Taifa limejaa wasomi ila ukisikiliza wanachoandika (kupitia machapisho yao) na wanachoongea unaweza kulia. PhD zimejaa kwenye siasa na kuacha mediocre kwenye academia.
NB: Duniani huko Scholarship na Grants zimeanzishwa kusomesha na kufadhili tafiti za kutatua matatizo pia kuwaenzi wasomi walioacha legacy. Ila hapa Tanganyika unajiuliza hivi Hawa wasomi wanawaza nn?
NB: Duniani huko Scholarship na Grants zimeanzishwa kusomesha na kufadhili tafiti za kutatua matatizo pia kuwaenzi wasomi walioacha legacy. Ila hapa Tanganyika unajiuliza hivi Hawa wasomi wanawaza nn?