Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
hapana mkuu uzi na maana yako ina uhusiano ! labda kwa watoto ndo hawataelewaAaah, hajaitwa mtu hata kidogo. Anyway, ngoja nikabadilishe maana inawezekana wengine wengi kama wewe wakapata hisia tofauti
hapana mkuu uzi na maana yako ina uhusiano ! labda kwa watoto ndo hawataelewa
Ndiyo uchafu Tz upo mwingi hata hao ccm mafisadi wamejaa huko wakina kikwete na wenzake huko..ufisadi tz ulishaota mizizi na ni ngumu kuutokomeza kwa haraka sababu ndo hivyo kuna wengine ni wakuu hivyo si rahisi jpm kuwashika sharubu watu kama jk...but atleast awamu hii watu wa aina hii kuanzia huku chini wanaona cha moto ni tofauti na awamu zilizopita....yawezekana hata awamu zijazo hao wakubwa wakafikiwa na wao kukiona cha mtema kuni....but mnachonishangaza baadhi yenu ninyi upande wa pili ni kupinga almost kila analofanya hata kama lina manufaa kwa nchi...kwa maana nyingine ni chuki dhidi ya rais mnaidhihirisha waziwazi...ndiyo tunafahamu ninyi ni wapinzani but not to such extent....kama mnajenga chuki dhidi yake naye atajenga chuki dhidi yenu.
maana yako iko very naked mkuu haitaji kutumia akili kubwa.Ni kama kazi ya sanaa, kila na tafsiri yake. Ila naheshimu mtazamo wako.
Shetani ana nia mbaya nawe hawezi kukuponya la kama ni hivyo ana lake jambo.Shetani akikuponya ugonjwa unaoumwa utampongenza?
Jambo gani jpm kafanya kisha likaungwa mkono 100% na wapinz@ni? Nisaidie mkuu...Huenda unabeba mambo kwa kufuata mkumbo ndio maana umetekwa na kwamba watu wanapinga kila kitu. Ni vyema ukajiridhisha watu wanapinga au kukosoa nini na zipi hoja zao. Lakini ukija na mtazamo na hii propaganda mfu ya kwamba watu wanapinga kila kitu basi hutaelewa chochote.
Huenda nyie ndio mnaomwambia kwamba watu wanapinga kila kitu, ndio mnaopotosha na yeye anaamini anapingwa kwa kila kitu. Unasema eti akionyeshwa chuki na yeye ataonyesha chuki, kwanza yeye sio Mungu bali ni binadamu mwenye madaraka ya muda tu. Na kama ni chuki basi ujue alikuwa nayo since day one kwani sio kiongozi wa kipawa bali mfumo mbovu ndio uliombeba. Hakuna mtu anayesema kila kitu anakosea kwani hakuna binadamu wa hivyo, bali visasi na chuki yake dhidi yetu iwazi.
Nasisitiza, hakuna mtu aliyeitwa sokwe. Ila kama unataka kutafsiri hivyo ni maoni yako, pengine wewe unataka kumuita mtu sokwe?maana yako iko very naked mkuu haitaji kutumia akili kubwa.
Huwezi kumwita SOKWE binadamu mwenzako
Na kwa nini liungwe mkono 100%, not any other percentage? By the way, Lissu amewahi kuunga mkono kwa 100% juhudi za Rais Magufuli kutufundisha kuwa haki za binadamu, utawala wa sheria na demokrasia ni muhimu sana.Jambo gani jpm kafanya kisha likaungwa mkono 100% na wapinz@ni? Nisaidie mkuu...
kweli wewe kinembe, hii taarifa umeitoa wapi? kumbuka dua ovu haiunguzi nyumba,Kumekucha!
Steven Wasira,mmoja wa wadaiwa sugu wa mfuko wa Commodity Import Support amesema hatalipa deni hilo kamwe na kwamba yeye si mmoja wa wadaiwa wa mabilioni hayo.
Wasira ambaye anakiri kukopa milioni mia moja miaka ya tisini,anasema alikuwa na makubaliano ya kulipa benki ya T.I.B, na kwamba makubaliano hayo yalifanywa wakati Mkurugenzi wa Benki hiyo,na mtuhumiwa wa ufisadi,bwana Peter Noni akiwa mamlakani.
Cha ajabu,Benki hakuna kumbukumbu za kulipa deni kama Wasira anavyosema alilipa, na hana hata barua ya Benki kuonyesha kwamba imethibitisha kwamba kalipa na hadaiwi, wasira ana maneno tu hana documents za benki kuonyesha uthibitisho kwamba hadaiwi,je mchezo ulichezwa hela ikarudi kwa wasira,hivyo Wasira anaweza kuwa ametakatisha pesa?
Muda wote anaimba "noni,noni,noni"
Je Wasira na kundi lake la awamu ya tano walikuwa wanashinikiza na kuwatisha watendaji wawafutie madeni yao kiaina? Anasema aliachana na kampuni iliyokopa akaenda kufanya siasa,sasa kwa nini Benki au yeye aambiwe na Benki aiandikie ili ifute deni wakati yeye si mtumishi wa kampuni ya SIZYA COLD STORAGE?
Wasira alikopa milioni 100 miaka ya tisini,anataka alipe hizo pesa hivyo hivyo bila riba! Amekopa miaka 30 iliyopita?!
Haiwezekani, akamatwe na apewe kesi ya uhujumu uchumi,tena anamgomea Rais wa Jamhuri ya Muungano ! Anajiamini nini huyu mtu?hajui hii ni awamu ya tano!
Asomeshwe namba,
Yani wewe hata ukigongewa mkeo utasema hivyohivyoPiga piga team Membe
Wewe katika hili upo upande gani? Wasira au selikali?Mkuu asikupoteze Huyo JPM, hivi kule kwenye dini Lucifer ana weza kukuandalia makao mbinguni?
Ili watu washughulikiwe uporaji wao inabidi kuiondoa CCM madarakani kisha sheria (ambayo ipo siku zote) ifuate mkondo. Huyo unayesema uko upande wake ndio hatari zaidi.
Kumekucha!
Steven Wasira,mmoja wa wadaiwa sugu wa mfuko wa Commodity Import Support amesema hatalipa deni hilo kamwe na kwamba yeye si mmoja wa wadaiwa wa mabilioni hayo.
Wasira ambaye anakiri kukopa milioni mia moja miaka ya tisini,anasema alikuwa na makubaliano ya kulipa benki ya T.I.B, na kwamba makubaliano hayo yalifanywa wakati Mkurugenzi wa Benki hiyo,na mtuhumiwa wa ufisadi,bwana Peter Noni akiwa mamlakani.
Cha ajabu,Benki hakuna kumbukumbu za kulipa deni kama Wasira anavyosema alilipa, na hana hata barua ya Benki kuonyesha kwamba imethibitisha kwamba kalipa na hadaiwi, wasira ana maneno tu hana documents za benki kuonyesha uthibitisho kwamba hadaiwi,je mchezo ulichezwa hela ikarudi kwa wasira,hivyo Wasira anaweza kuwa ametakatisha pesa?
Muda wote anaimba "noni,noni,noni"
Je Wasira na kundi lake la awamu ya tano walikuwa wanashinikiza na kuwatisha watendaji wawafutie madeni yao kiaina? Anasema aliachana na kampuni iliyokopa akaenda kufanya siasa,sasa kwa nini Benki au yeye aambiwe na Benki aiandikie ili ifute deni wakati yeye si mtumishi wa kampuni ya SIZYA COLD STORAGE?
Wasira alikopa milioni 100 miaka ya tisini,anataka alipe hizo pesa hivyo hivyo bila riba! Amekopa miaka 30 iliyopita?!
Haiwezekani, akamatwe na apewe kesi ya uhujumu uchumi,tena anamgomea Rais wa Jamhuri ya Muungano ! Anajiamini nini huyu mtu?hajui hii ni awamu ya tano!
Asomeshwe namba,
Kodi ipi mkuu!? Isije ikawa ni ile wanayotumbua kina makonda!!Linapokuja suala la kupambana na wakwepa kodi automatically nakuwa upande wa JPM
Wewe ndio ujiulize unashida gani?Yaani kuna watu hata kifanyike nn nchini yeye anapinga...jamani!!!! What's wrong? Ni laana au? Ninyi baadhi ya watu wa upande wa pili mna matatizo gani?
Kwa maana nyingine kwa kiasi kikubwa..Na kwa nini liungwe mkono 100%, not any other percentage?
Jambo gani jpm kafanya kisha likaungwa mkono 100% na wapinz@ni? Nisaidie mkuu...
Linapokuja suala la kupambana na wakwepa kodi automatically nakuwa upande wa JPM
YOUR the one called great thinker???Nasisitiza, hakuna mtu aliyeitwa sokwe. Ila kama unataka kutafsiri hivyo ni maoni yako, pengine wewe unataka kumuita mtu sokwe?