Wassira atoboa siri juunya swala la katiba na ushirikishwaji wa jamii.

Wassira atoboa siri juunya swala la katiba na ushirikishwaji wa jamii.

mNaz

Senior Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
104
Reaction score
31
Mh WASSIRA Jana katika kipindi Cha tuambie Cha TBC1,WASSIRA aliwekawazi juu ya mchakato huu tangu ulivyo anza Mpaka sasa tulipo fikia. Huku akielezea kilicho tokea bungeni na taratibu Za bunge pamoja na kanuni Za bunge. Alikgusia Kamati ya bunge ya KATIBA na sheria bamoja na kuwepo Kwa WAJUMBE toka vyama vyote CHADEMA,CUF NA CCM.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    75.8 KB · Views: 701
  • image.jpg
    image.jpg
    15.7 KB · Views: 223
  • image.jpg
    image.jpg
    24 KB · Views: 207
  • image.jpg
    image.jpg
    29.6 KB · Views: 192
  • image.jpg
    image.jpg
    48.8 KB · Views: 189
mbona hujaelezea kirefu??...attachment za picha za wassira na wachina zinahusu nn hapa na habari yako??
 
Back
Top Bottom