Pre GE2025 Wassira: Maridhiano ni lazima, nchi nyingi za Africa zilipitia Mapinduzi ya Kijeshi Lakini Tanzania tumekuwa Kisiwa Cha Amani!

Pre GE2025 Wassira: Maridhiano ni lazima, nchi nyingi za Africa zilipitia Mapinduzi ya Kijeshi Lakini Tanzania tumekuwa Kisiwa Cha Amani!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Makamu Mwenyekiti Mpya wa CCM Mzee Wassira amesema maridhiano ni jambo la lazima katika kudumisha Amani yetu

Wassira amesema Nchi karibia zote za Africa zilipitia Mapinduzi ya kijeshi kasoro Tanzania na zile Nchi za Kusini mwa Africa tulizozisaidia kupata Uhuru Wao

Wassira amewataka Wanasiasa wote kuelewa Faida na umuhimu wa maridhiano Ili tuendelee kuwa salama

Source: Jambo TV

Mlale unono 😄
 
Makamu Mwenyekiti Mpya wa CCM Mzee Wassira amesema maridhiano ni jambo la lazima katika kudumisha Amani yetu

Wassira amesema Nchi karibia zote za Africa zilipitia Mapinduzi ya kijeshi kasoro Tanzania na zile Nchi za Kusini mwa Africa tulizozisaidia kupata Uhuru Wao

Wassira amewataka Wanasiasa wote kuelewa Faida na umuhimu wa maridhiano Ili tuendelee kuwa salama

Source: Jambo TV

Mlale unono 😄
Hauwezi kukwepa maridhiano na serikali vinginevyo utaumia sana
 
huyu mzee anataka chadema watumike kisiasa kutimiza malengo yao kisiasa @# No reform no election
 
Muda wa maridhiano umeshaisha, sasa hivi ni "mtatoa hamtoi"
 
Sasa hiyo amani imesaidiaje haki iwepo nchini?

Naona CCM wanaiba tu chaguzi wala hawaheshimu kura za wananchi.

#No reforms no election
 
Mharifu anatakiwa kutubu halafu ndio mridhiane. Hayo maridhiano ni ya nini kama hakuna mharifu? Lini hizo kambi zimehirafiana?
 
Makamu Mwenyekiti Mpya wa CCM Mzee Wassira amesema maridhiano ni jambo la lazima katika kudumisha Amani yetu

Wassira amesema Nchi karibia zote za Africa zilipitia Mapinduzi ya kijeshi kasoro Tanzania na zile Nchi za Kusini mwa Africa tulizozisaidia kupata Uhuru Wao

Wassira amewataka Wanasiasa wote kuelewa Faida na umuhimu wa maridhiano Ili tuendelee kuwa salama

Source: Jambo TV

Mlale unono 😄
Cdm wasiingie tena mtego wa haya maridhiano ya mdomoni ili kuwapa ccm political millage, kisha wakawafanya uhuni tena kwenye uchaguzi wa SM.
 
Sio kwa ubaya ila huyu mzee wangempumzisha katika siasa. Atamaliza vibaya katika siasa.
 
Back
Top Bottom