Pre GE2025 Wassira: Tutaanza kuendeleza maaridhiano. Anayesema hakuna maridhiano haturidhiani na mtu mmoja, tunaridhiana na jamii

Pre GE2025 Wassira: Tutaanza kuendeleza maaridhiano. Anayesema hakuna maridhiano haturidhiani na mtu mmoja, tunaridhiana na jamii

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Akiwa anawasilimia wana CCM na wageni waliofika kwenye mkutano mkuu, Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Ndg. Wassira amesema ataanza kushirika na maridhiano, na kwamba hakuna maridhiano na mtu mmoja bali na jamii.

Dongo hilo limerishwa kwa Lissu likiwa la moto kabisa!

Pia soma: Lissu: Habari ya Maridhiano kati ya CHADEMA na CCM ilishakufa baada ya CCM kukataa mapendekezo yote ya Katiba Mpya

"Mwenyekiti wetu ana filosofia ya 4R, kama msaidizi wake namwambia kazi tutakayoanza nayo ni kuendeleza maridhiano. Wengine wanasema maridhiano hakuna, ile ni folosofia haturidhiani na mtu mmoja, tunaridhiana na jamii. Na jamii ina wadau wengi, viongozi wa dini, mshirika yasiyo ya kiserikali, jamii za kimataifa zinazoishi hapa, wote hao ni wadau, tutashirikiana nao katika maridhiano kwasababu sisi ni chama cha amani, kama wewe unataka vita sisi tutakwambia sisi huko hatuendi. Maana amani ndio msingi wa maendeleo."




Pia soma: Pre GE2025 - Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
 
Ee
 

Attachments

  • Screenshot_20250118-145328.jpg
    Screenshot_20250118-145328.jpg
    29 KB · Views: 3
Akiwa anawasilimia wana CCM na wageni waliofika kwenye mkutano mkuu, Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Ndg. Wassira amesema ataanza kushirika na maridhiano, na kwamba hakuna maridhiano na mtu mmoja bali na jamii

"Wengine wanasema maridhiano hakuna, ile ni folosofia haturidhiani na mtu mmoja, tunaridhiana na jamii. Na jamii ina wadau wengi, viongozi wa dini, mshirika ya kiserikali mpaka kimataifa, wote hao ni wadau... kwasababu sisi ni chama cha amani, kama wewe unataka vita sisi tutakwambia sisi huko hatuendi. Maana amani ndio msingi wa maendeleo.
Kwa hiyo anamchana Mbowe kwa maridhiano binafsi na mama dula.
 
Kweli kabisa, maana Lissu anadhani maridhiano ni makaratasi ya matibabu aliyookoteza na mengine kutengeneza stationery
 
Akiwa anawasilimia wana CCM na wageni waliofika kwenye mkutano mkuu, Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Ndg. Wassira amesema ataanza kushirika na maridhiano, na kwamba hakuna maridhiano na mtu mmoja bali na jamii

"Mwenyekiti wetu ana filosofia ya 4R, kama msaidizi wake namwambia kazi tutakayoanza nayo ni kuendeleza maridhiano. Wengine wanasema maridhiano hakuna, ile ni folosofia haturidhiani na mtu mmoja, tunaridhiana na jamii. Na jamii ina wadau wengi, viongozi wa dini, mshirika yasiyo ya kiserikali, jamii za kimataifa zinazoishi hapa, wote hao ni wadau, tutashirikiana nao katika maridhiano kwasababu sisi ni chama cha amani, kama wewe unataka vita sisi tutakwambia sisi huko hatuendi. Maana amani ndio msingi wa maendeleo."
Unaridhiana na makundi, hayo makundi yamewahi kutaka maridhiano?
 
Akiwa anawasilimia wana CCM na wageni waliofika kwenye mkutano mkuu, Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Ndg. Wassira amesema ataanza kushirika na maridhiano, na kwamba hakuna maridhiano na mtu mmoja bali na jamii

"Mwenyekiti wetu ana filosofia ya 4R, kama msaidizi wake namwambia kazi tutakayoanza nayo ni kuendeleza maridhiano. Wengine wanasema maridhiano hakuna, ile ni folosofia haturidhiani na mtu mmoja, tunaridhiana na jamii. Na jamii ina wadau wengi, viongozi wa dini, mshirika yasiyo ya kiserikali, jamii za kimataifa zinazoishi hapa, wote hao ni wadau, tutashirikiana nao katika maridhiano kwasababu sisi ni chama cha amani, kama wewe unataka vita sisi tutakwambia sisi huko hatuendi. Maana amani ndio msingi wa maendeleo."

View: https://www.instagram.com/reel/DE9x1yWtguT/?igsh=Z2x3MG1semZhOWlx
 
Akiwa anawasilimia wana CCM na wageni waliofika kwenye mkutano mkuu, Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Ndg. Wassira amesema ataanza kushirika na maridhiano, na kwamba hakuna maridhiano na mtu mmoja bali na jamii

"Mwenyekiti wetu ana filosofia ya 4R, kama msaidizi wake namwambia kazi tutakayoanza nayo ni kuendeleza maridhiano. Wengine wanasema maridhiano hakuna, ile ni folosofia haturidhiani na mtu mmoja, tunaridhiana na jamii. Na jamii ina wadau wengi, viongozi wa dini, mshirika yasiyo ya kiserikali, jamii za kimataifa zinazoishi hapa, wote hao ni wadau, tutashirikiana nao katika maridhiano kwasababu sisi ni chama cha amani, kama wewe unataka vita sisi tutakwambia sisi huko hatuendi. Maana amani ndio msingi wa maendeleo."

Kwa hiyo wanajua wametukosea.

Kama wataendelea kufanya maridhiano kwa terms zao wenyewe basi hawatafanikiwa.
 
Akiwa anawasilimia wana CCM na wageni waliofika kwenye mkutano mkuu, Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Ndg. Wassira amesema ataanza kushirika na maridhiano, na kwamba hakuna maridhiano na mtu mmoja bali na jamii.

Dongo hilo limerishwa kwa Lissu likiwa la moto kabisa!

Pia soma: Lissu: Habari ya Maridhiano kati ya CHADEMA na CCM ilishakufa baada ya CCM kukataa mapendekezo yote ya Katiba Mpya

"Mwenyekiti wetu ana filosofia ya 4R, kama msaidizi wake namwambia kazi tutakayoanza nayo ni kuendeleza maridhiano. Wengine wanasema maridhiano hakuna, ile ni folosofia haturidhiani na mtu mmoja, tunaridhiana na jamii. Na jamii ina wadau wengi, viongozi wa dini, mshirika yasiyo ya kiserikali, jamii za kimataifa zinazoishi hapa, wote hao ni wadau, tutashirikiana nao katika maridhiano kwasababu sisi ni chama cha amani, kama wewe unataka vita sisi tutakwambia sisi huko hatuendi. Maana amani ndio msingi wa maendeleo."


Yaani Lisu akishindwa uchaguzi mkuu basi nitamshangaa. Samia + Wasira= ZERO
 
Kweli kabisa, maana Lissu anadhani maridhiano ni makaratasi ya matibabu aliyookoteza na mengine kutengeneza stationery
Labda Mzee Wasira angeeleza walichowakosea wote hao aliowataja na hivyo kwa sasa wanahitaji kuridhiana nao.
 
Akiwa anawasilimia wana CCM na wageni waliofika kwenye mkutano mkuu, Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Ndg. Wassira amesema ataanza kushirika na maridhiano, na kwamba hakuna maridhiano na mtu mmoja bali na jamii.

Dongo hilo limerishwa kwa Lissu likiwa la moto kabisa!

Pia soma: Lissu: Habari ya Maridhiano kati ya CHADEMA na CCM ilishakufa baada ya CCM kukataa mapendekezo yote ya Katiba Mpya

"Mwenyekiti wetu ana filosofia ya 4R, kama msaidizi wake namwambia kazi tutakayoanza nayo ni kuendeleza maridhiano. Wengine wanasema maridhiano hakuna, ile ni folosofia haturidhiani na mtu mmoja, tunaridhiana na jamii. Na jamii ina wadau wengi, viongozi wa dini, mshirika yasiyo ya kiserikali, jamii za kimataifa zinazoishi hapa, wote hao ni wadau, tutashirikiana nao katika maridhiano kwasababu sisi ni chama cha amani, kama wewe unataka vita sisi tutakwambia sisi huko hatuendi. Maana amani ndio msingi wa maendeleo."


Ninachompendea Mzee Wasira ni honest, bold and deterministic...Hanaga abstract thinking...Hapa CHAGADEMA wakajipange upya

Ila Mzee wangu we need a true change wananchi walipofika watakosa uvumilivu, pamoja na democracy tunayoitamani lakini vitendo viovu vimezidi na vina muumiza Kila mtu bila kujali mwenye chama, status au rangi yeyote....We need inside change kurejesha nchi kwenye mstari, kuwa mkali kidogo hasa kwenye maadili ya wanasiasa na watendaji...Tusaidie kupata Katiba mpya maana nyie sasa ndiyo last Kadi hizo, mtaenda kujibu Nini huko Kwa muumba?

My fifty cents...Tanzania njema is a must deal bila kujali mvua, baridi au joto Kali...And surely mie kama rafiki wa kweli nakuaminia baba yangu...Remember what my late mother did together with you that year before elections mpaka akapoteza maisha kabla hamjafikia Malengo takiwa; Do not forget the struggle for better Tanzania, please!
 
Back
Top Bottom