Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
"Waziri aseme watakaolipa kodi ni wale wenye uwezo, miaka haina maana, hapo unaweza ukaleta crisis ya bure tu watu wataanza kusema wana miaka 17 sababu ikifika 18 watafikiri utadaiwa, vijana wetu tatizo kubwa ni ajira, hivyo tusiwababaishe,"- Stephen Wasira