Miaka ina maana kwa sababu Umri huo unachukuliwa ni mtu mzima anaejitegemea japo bwana Wassira ana hoja."Waziri aseme watakaolipa kodi ni wale wenye uwezo, miaka haina maana, hapo unaweza ukaleta crisis ya bure tu watu wataanza kusema wana miaka 17 sababu ikifika 18 watafikiri utadaiwa, vijana wetu tatizo kubwa ni ajira, hivyo tusiwababaishe,"- Stephen Wasira
View attachment 2265424
Kweli kabisa. Serekali ikitaka ugonvi wa moja kwa moja/direct fight na wananchi walete hii kodiKodi inalipwa kila siku kwenye manunuzi ya bidhaa huko madukani, tozo za miamala ya simu, kodi ya kichwa ni kuishiwa kwa uwezo wa kufikiri.
Wakusanya kodi wajiandae kupigwa mishale kama yule ndata kule umasaini.Kweli kabisa. Serekali ikitaka ugonvi wa moja kwa moja/direct fight na wananchi walete hii kodi
PhD feki hajui kwanini hii kodi iliondolewaKodi inalipwa kila siku kwenye manunuzi ya bidhaa huko madukani, tozo za miamala ya simu, kodi ya kichwa ni kuishiwa kwa uwezo wa kufikiri.
Huyu waziri ni kilaza haswaa, eti naye anaitwa Dr 🙄PhD feki hajui kwanini hii kodi iliondolewa
Hivyo katika dunia ya sasa kuna nchi ina kodi ya kichwa kwa kila mwananchi? Au Tanzania inarudi enzi za ukoloni?Wakusanya kodi wajiandae kupigwa mishale kama yule ndata kule umasaini.
Ni Tanzania pekeeHivyo katika dunia ya sasa kuna nchi ina kodi ya kichwa kwa kila mwananchi? Au Tanzania inarudi enzi za ukoloni?
Huyu babu utashangaa 2025 anagombea tena"Waziri aseme watakaolipa kodi ni wale wenye uwezo, miaka haina maana, hapo unaweza ukaleta crisis ya bure tu watu wataanza kusema wana miaka 17 sababu ikifika 18 watafikiri utadaiwa, vijana wetu tatizo kubwa ni ajira, hivyo tusiwababaishe,"- Stephen Wasira
View attachment 2265424