Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuunga mkono, aibu sana kumsumbua mwanachama wenu ambaye miaka yote mnapokea hela yake, lakini inapofika kumlipa mafao yake ni kimbembe. ilitakiwa kuwa hivi, kwa vile details zote anazo mwajiri, basi mifuko iwasiliane na mwajiri kupata hizo nyaraka.Umestaaafia wapi wewe au umetumwa kuleta propagansda tu hapa? kuna watu wanaendelea kuzungushwa tu huko wanaulizwa barua za ajira sijui barua za kupanda cheo ilhali wamechangia miaka yoooote na record zao zipo. Pensheni za kibongo ni ubabaishaji sana, wala hakuna anayejali as if wao hawatastaafu.
Mkuu tafuta connection mambo yawe machache utaishia kulia hapaHiyo laki moja ndio unaleta uzi wa ushuzi waalimu waliostafu toka mwaka jana mwanzon hadi leo hamna kitu.
Leo tarehe 24.3.2022 pensheni kwa Wastaafu tayari imeingia tofauti na nyakati za zamani.
Kwa niaba ya Wastaafu ninakushukuru kwa Wastaafu kupata pensheni yao mapema.
Tunakuombea afya njema ili uweze kuliongoza Taifa.
Yeye anasemea ambao tayari walishaingizwa kwenye mfumo wa malipo. Hizo nyingine ni hasira zako kwa kuondokewa na fascist jiweUmestaaafia wapi wewe au umetumwa kuleta propagansda tu hapa? kuna watu wanaendelea kuzungushwa tu huko wanaulizwa barua za ajira sijui barua za kupanda cheo ilhali wamechangia miaka yoooote na record zao zipo. Pensheni za kibongo ni ubabaishaji sana, wala hakuna anayejali as if wao hawatastaafu.
Ni wivu tuuusawa endeleeni kuchukua vibinti vidogo kwa dhamana ya pensheni.
Mwache apige domo hapa anadhani ndio atalipwa pension badala ya kujiongeza.Mkuu tafuta connection mambo yawe machache utaishia kulia hapa
Bei za bidhaa ndio Nazi sasaLeo tarehe 24.3.2022 pensheni kwa Wastaafu tayari imeingia tofauti na nyakati za zamani.
Kwa niaba ya Wastaafu ninakushukuru kwa Wastaafu kupata pensheni yao mapema.
Tunakuombea afya njema ili uweze kuliongoza Taifa.
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]Utakuwa umestaafia peponi.
Wastaafu hatuna pa kusemea