Salmin yuko zanzibar, Mohammed Gharib bIlali yuko Zanzibar, Marehemu Idrissa Abdul wakil kafia na kuzikwa zanzibar, Marehemu Ramadhan Haji kafia na kuzikwa zanzibar.
Salim ana nyumba zanzibar na anakwenda, Mwinyi ana nyumba zanzibar na anakwenda na mashamba pia, Jumbe yeye mwenyewe kasema kwao si Zanzibar kaamua kujenga kwao na akaandika mtu kwao
maamuzi ya mtu kukaa anapotaka na kuhisi ni wepesi kufanya shughuli zake au mkuu kuna jambo jengine umelificha kama lipo liweke wazi maana njia hii uliopita ni vigumu kuwa kweupeni