Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kwanini wastaafu huwa wanendelea kulipwa kila mwezi pesa kidogo kidogo baada kupewa kwa mkupuo kiasi kikubwa pindi wanapostaafu badala ya kupewa pesa zao zote ndani ya muda mfupi wa kustaafu kwao?
Hizi pesa za pensheni wanazopewa kila mwezi ni za kuganga njaa tu na huwa hawewezi kudunduliza kufanyia nazo mambo makubwa ya maendeleo pia ni kupoteza muda na kuingezea serikali mzigo usiokuwa wa lazima wa kusimamia na kufuatilia kila siku mafao ya hawa wazee wastaafu.
Ni vyema serikali ikawa inawapa pesa zao zote angalau ndani ya mwaka mmoja baada ya kustaafu ili huyo mstaafu mwenyewe akajue pa kuzipeleka ua jinsi ya kuzitumia.
Hizi pesa za pensheni wanazopewa kila mwezi ni za kuganga njaa tu na huwa hawewezi kudunduliza kufanyia nazo mambo makubwa ya maendeleo pia ni kupoteza muda na kuingezea serikali mzigo usiokuwa wa lazima wa kusimamia na kufuatilia kila siku mafao ya hawa wazee wastaafu.
Ni vyema serikali ikawa inawapa pesa zao zote angalau ndani ya mwaka mmoja baada ya kustaafu ili huyo mstaafu mwenyewe akajue pa kuzipeleka ua jinsi ya kuzitumia.