Ilulu Senior Member Joined Mar 22, 2008 Posts 161 Reaction score 31 Jul 16, 2010 #1 Kushoto miaka 35 na kulia miaka 40 Bungeni... Attachments 07_10_4us99h.jpg 51.3 KB · Views: 83
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 94,296 Reaction score 122,540 Jul 16, 2010 #2 Nchi za magharibi ukishikana mikono na mwanaume mwenzio kama walivyoshikana hao jamaa utazua mambo. Mambo ya tofauti za kiutamaduni bana...
Nchi za magharibi ukishikana mikono na mwanaume mwenzio kama walivyoshikana hao jamaa utazua mambo. Mambo ya tofauti za kiutamaduni bana...
Abdulhalim Platinum Member Joined Jul 20, 2007 Posts 17,215 Reaction score 3,076 Jul 16, 2010 #3 Wamefanya bunge kama kijiwe chao cha summer..
D Dandaj Member Joined Apr 16, 2009 Posts 73 Reaction score 3 Jul 16, 2010 #4 Abdulhalim said: Wamefanya bunge kama kijiwe chao cha summer.. Click to expand... Wapo wengi bana!!! Bila kumsahau Jackson Makweta, sijawasikia wakitangaza nia za kustaafu kama alivyofanya Poo kimiti na yule mwenzie.
Abdulhalim said: Wamefanya bunge kama kijiwe chao cha summer.. Click to expand... Wapo wengi bana!!! Bila kumsahau Jackson Makweta, sijawasikia wakitangaza nia za kustaafu kama alivyofanya Poo kimiti na yule mwenzie.
MANI Platinum Member Joined Feb 22, 2010 Posts 7,318 Reaction score 6,391 Jul 16, 2010 #5 Malecela,Kingunge pia
Ilulu Senior Member Joined Mar 22, 2008 Posts 161 Reaction score 31 Jul 16, 2010 Thread starter #6 Kwaherini Paul & Chris... Attachments kimiti.jpg 21.9 KB · Views: 42
Utingo JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 10,266 Reaction score 8,085 Jul 16, 2010 #7 Ilulu said: Kwaherini Paul & Chris... Click to expand... Among the useless fellas