R Rog chimera JF-Expert Member Joined Apr 28, 2018 Posts 398 Reaction score 706 Apr 21, 2024 #1 wastani wa kipato cha mafundi katika fani hizi ukoje kwa mikoa mikubwa kama Dar, Mwanza,Arusha na Dodoma? Fundi simu Fundi wa computer Fundi umeme wa majumbani Fundi wa vifaa vya electronics kiujumla Fundi umeme wa magari
wastani wa kipato cha mafundi katika fani hizi ukoje kwa mikoa mikubwa kama Dar, Mwanza,Arusha na Dodoma? Fundi simu Fundi wa computer Fundi umeme wa majumbani Fundi wa vifaa vya electronics kiujumla Fundi umeme wa magari
Chance ndoto JF-Expert Member Joined Mar 8, 2017 Posts 4,363 Reaction score 10,265 Apr 21, 2024 #2 Fundi simu 80,000,0000/- Computer B3 Umeme wa majumbani Installation 2,000,000 kwa nyumba Vifaa vya electronics 70,000,000 Umeme wa magari 112,000,000
Fundi simu 80,000,0000/- Computer B3 Umeme wa majumbani Installation 2,000,000 kwa nyumba Vifaa vya electronics 70,000,000 Umeme wa magari 112,000,000
K Kimwakaleli JF-Expert Member Joined Apr 16, 2018 Posts 7,755 Reaction score 11,737 Apr 22, 2024 #3 Rog chimera said: wastani wa kipato cha mafundi katika fani hizi ukoje kwa mikoa mikubwa kama Dar, Mwanza,Arusha na Dodoma? Fundi simu Fundi wa computer Fundi umeme wa majumbani Fundi wa vifaa vya electronics kiujumla Fundi umeme wa magari Click to expand... Ongeza fundi ujenzi
Rog chimera said: wastani wa kipato cha mafundi katika fani hizi ukoje kwa mikoa mikubwa kama Dar, Mwanza,Arusha na Dodoma? Fundi simu Fundi wa computer Fundi umeme wa majumbani Fundi wa vifaa vya electronics kiujumla Fundi umeme wa magari Click to expand... Ongeza fundi ujenzi
Vinci Dayot Upamecano JF-Expert Member Joined Nov 11, 2020 Posts 524 Reaction score 1,288 Apr 22, 2024 #4 Rog chimera said: wastani wa kipato cha mafundi katika fani hizi ukoje kwa mikoa mikubwa kama Dar, Mwanza,Arusha na Dodoma? Fundi simu Fundi wa computer Fundi umeme wa majumbani Fundi wa vifaa vya electronics kiujumla Fundi umeme wa magari Click to expand... Unaleta dharau kwa sisi fundi nguo sio? Sasa mbona hujatu'mention!!
Rog chimera said: wastani wa kipato cha mafundi katika fani hizi ukoje kwa mikoa mikubwa kama Dar, Mwanza,Arusha na Dodoma? Fundi simu Fundi wa computer Fundi umeme wa majumbani Fundi wa vifaa vya electronics kiujumla Fundi umeme wa magari Click to expand... Unaleta dharau kwa sisi fundi nguo sio? Sasa mbona hujatu'mention!!
edon66 JF-Expert Member Joined Feb 11, 2023 Posts 2,907 Reaction score 9,135 Apr 22, 2024 #5 Fundi kupauwa Fundi welding( kuchomelea) Fundi kapenta Fundi majenezaa