Watu wana nyota, wengine wanakesha huku kutafuta wachumbaAisee!
Hongera yake ndoa ya saba?
Awapunguzie na wenzie sasa
Kuna wadada wana nyota sana mfano huyu dada na zari the boss lakin kuna wadada wengine wana mikosi inabidi wakaoge dawa za kisukuma zinaitwa sambaa mfano wema sepetu na joharAisee!
Hongera yake ndoa ya saba?
Awapunguzie na wenzie sasa
Walio vaa suruali ni wa kumwaga jamani duh!Watu wana nyota, wengine wanakesha huku kutafuta wachumba
Wadada wenye mikos wakaoge tu madawa ya kisukuma watapata waume au kama vp waonane na jitu chawi mshana jr atawasaidia, maana haiwekani mtu anaolewa had mara saba wakati wengine hata mara moja bado hawajapataWatu wana nyota, wengine wanakesha huku kutafuta wachumba
Kweli life is not fair mkuu...Watu wana nyota, wengine wanakesha huku kutafuta wachumba