Wastara aolewa kwa mara ya saba

Ha ha ha haaaaaaaaaa nakosa cha kusema kwa hili, Mungu amuongoze iwe ndoa yenye kheri kwake🙂
 
ohooo yamekuwa hayo tena kwahiyo kumbe mange alishafanya mapenz na baba yake mzazi
 
ohoo nyan wa maonesho tena
 
mmmhhh
 
Aiseh!
Halafu mange kawa mpole ghafla hata post za jana kafuta.
 
Juzi nimeona anatangaza tena kuwa yupo tayari kuolewa, inawezekana huyo jamaa ashamwacha
 
Kachokoza pabaya. Kusimanga ugonjwa wa mtu mbaya sana. Kingine saiv hakuna anayemuogopa kila anapogusa anajibiwa kavu mpaka anatamani aanzishe ligi na makonda ambaye huwa hamjibu na kuonekana yeye ndo kiboko yake
Aiseh!
Halafu mange kawa mpole ghafla hata post za jana kafuta.
 
Kachokoza pabaya. Kusimanga ugonjwa wa mtu mbaya sana. Kingine saiv hakuna anayemuogopa kila anapogusa anajibiwa kavu mpaka anatamani aanzishe ligi na makonda ambaye huwa hamjibu na kuonekana yeye ndo kiboko yake
Ila huu ugomvi sijui utaishia wapi,mange huwa hakubali kushindwa.

Ila wastara naye kama kesha jua huyu ni mgonjwa wa akili yanini kujibizana naye?japo si mbaya kujitetea nayeye.
 
Mange kazidi jamani khaa hebu fikiria faiza aliingiaje pale kwa ugomvi na esma.
Hata kama ni mgonjwa wa akili ajibiwe hivyo hivyo tu sio kila siku kuogopwa kiboya.
cheki hapa faiza anaenda nae hatua kwa hatua
Ila huu ugomvi sijui utaishia wapi,mange huwa hakubali kushindwa.

Ila wastara naye kama kesha jua huyu ni mgonjwa wa akili yanini kujibizana naye?japo si mbaya kujitetea nayeye.
 
Itakua,maana anayoyafanya siku him sio kabisa full stress

Mujini kutamu ukikosa bando siku moja tu unakosa ubuyu mkubwa

Na wakimkalia kimya anaona anaogopwa sana
Ila kwenye hili namtetea mange wastara alikua anataka tu kugombana na mange na ni yeye ndo ameanza kumchokoza mange uwe fair muda mwingine numbisa dia [emoji26] [emoji26]
Aisee.

Wengine wakisifia utaliki mara 6 ndoa mara 7, wengine tunaponda.

Huyu binti ana shida unless anataka kuingia kwenye Guinness book
 
Oooh waaow ukisema kuwa fair wastara yupo sahihi maana alianza itwa tapeli sababu ya mange kumsakama,wastara katafuta muda sahihi wa kumuweka sawa mange ili akome kumfata fata maoshani mwake
Ila kwenye hili namtetea mange wastara alikua anataka tu kugombana na mange na ni yeye ndo ameanza kumchokoza mange uwe fair muda mwingine numbisa dia [emoji26] [emoji26]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…