[emoji44] ana qualify kuwa Member wa pale buguruni sheli upande WA PiliTabia wakati ameolewa mara 19
Hongera zake ana bahati kweli sijui watu uwa wanatumia vigezo gani kupata mabarozi...
U made my day aisee 19 times?? ha ha hahaTabia wakati ameolewa mara 19
Ndio mana kaolewa mara nyingi sababu ya tabia nzuri. Kama angekua na mbaya angeolewa mara moja tu.
upo lovie!U made my day aisee 19 times?? ha ha haha
Nipo dear mwendokasi huu unatutenganisha tuuuupo lovie!
poteana sana sisi
Pesa kidogo sana hiyo kwa miaka miwiliMil 400? haha! Acha niwe TOMASO!
But uko poa ,sio?Nipo dear mwendokasi huu unatutenganisha tuuu
Yani niko fit ile kinoma acha kabisaBut uko poa ,sio?
Alishaumwa na akaomba michango kama kawaida.Sasa akiumwa asiombe michango.
Alishaumwa na akaomba michango kama kawaida.