ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,651
- 2,790
Nimepita Chato kwa Raia namba 1 Tz nimeshangaa barabara za lami zinavyojengwa mpaka vijijini lakini wajengewa hawaoni thamani ya barabara hizi na kuzitumia kinyume na matumizi kusudiwa.
Wanapanga bidhaa mpaka katikati ya barabara kama una gari inabidi ushike uwaombe wakupishe.
Ivi ni kweli wasukuma wako juu ya sheria
Wanapanga bidhaa mpaka katikati ya barabara kama una gari inabidi ushike uwaombe wakupishe.
Ivi ni kweli wasukuma wako juu ya sheria