ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,651
- 2,790
Anatuchukulia poa kwamba sisi ni mashkolo mageni sasa nasemajeMbona nyie huko Dar mnapanga vitu barabarani. Au kwa vile sisi wasukuma nyie wazaramo siyo?
CHATTLE BUGIRI KIFUA MBEREEEE.
Mleta Uzi utakuwa hujawahi pita mtaa wa Congo pale kariakooNimepita Chato kwa Raia namba 1 Tz nimeshangaa barabara za lami zinavyojengwa mpaka vijijini lakini wajengewa hawaoni thamani ya barabara hizi na kuzitumia kinyume na matumizi kusudiwa.
Wanapanga bidhaa mpaka katikati ya barabara kama una gari inabidi ushike uwaombe wakupishe.
Ivi ni kweli wasukuma wako juu ya sheriaView attachment 1198030
Nimepita Chato kwa Raia namba 1 Tz nimeshangaa barabara za lami zinavyojengwa mpaka vijijini lakini wajengewa hawaoni thamani ya barabara hizi na kuzitumia kinyume na matumizi kusudiwa.
Wanapanga bidhaa mpaka katikati ya barabara kama una gari inabidi ushike uwaombe wakupishe.
Ivi ni kweli wasukuma wako juu ya sheriaView attachment 1198030
BURIGI Mkuu.Burigi or bugiri?
Mkuu najua kwanini mtaa wa kongo uko ivyo kwasababu za kimazingira na utawala mbovu toka wakati wa kikoloni lakini Chato ni mji mpya ulipendelewa toka raia namba moja wa sasa akiwa Waziri wa ujenzi kwahiyo mji umepangwa vizuri na mitaa yake imepangiliwa vizuri huwezi kuulinginisha na mtaa wa kongo.Mleta Uzi utakuwa hujawahi pita mtaa wa Congo pale kariakoo
Mnataka tupite wapi sasa kama sio ushamba ninini?Mbona nyie huko Dar mnapanga vitu barabarani. Au kwa vile sisi wasukuma nyie wazaramo siyo?
Sasa jamaa mbona sikupati vzr,kwahy wasukuma si ndo washamba kwa imani yako?mbona raisi ni musukuma kwann ukubali kuongozwa na mshamba wakati ww ni mjanja? Nambie ushamba maanake nini?Mkuu najua kwanini mtaa wa kongo uko ivyo kwasababu za kimazingira na utawala mbovu toka wakati wa kikoloni lakini Chato ni mji mpya ulipendelewa toka raia namba moja wa sasa akiwa Waziri wa ujenzi kwahiyo mji umepangwa vizuri na mitaa yake imepangiliwa vizuri huwezi kuulinginisha na mtaa wa kongo.
Narudia tena ushamba wa wasukuma unamwaibisha raia namba moja.
Pita juu.Mnataka tupite wapi sasa kama sio ushamba ninini? View attachment 1208581