Tena adhabu yao iwe mlio wa simu ulee wa "kwetu pazuri nimeshapakumbuka" uwe ukilia kwa tumbo!
mbona fisi kwa wasukuma kawaida,ukienda pale magu usiku pikipiki aina ya toyo zinakua nyingi nilipouliza nikaambiwa nyingine ni fisi..unaweza zani umepanda bodaboda ya toyo kumbe fisi!
Na wewe ukaamini hayo maneno?
Halafu wewe ni msomi upo chuo kikuu!
Aisee ndiyo maana nchi hii mambo vuluvulu!!
Msiwe wakali kiivyo wajameni uchawi mbona ni utamaduni wa kabila zetu? Mboni Wachaga wanambiwa ni wezi hawawi wakali! Njie tulieni jivunieni hiyo science yenu ya ugagula!
Na wewe ukaamini hayo maneno?
Halafu wewe ni msomi upo chuo kikuu!
Aisee ndiyo maana nchi hii mambo vuluvulu!!
unakaa Magu sehemu gani ndugu? Siwezi kupuuzia,huyo kwenye picha ni Fisi au mbuzi,je waweza kumkamata Fisi kama hivyo? Uchawi hupo hata maprof wanazindika.
hahahaha. AAngekuwa mzungu mngemsifia kwa telinologia sasa mtanzania amejaribu imekues nongwa. hiyo ni namna ya kutest nguvu za madawa ya kiiasili. Kwanini msishauri viwekwe vituo vya utafiti hukoNaogopa BAN..
mchawi wa kisukuma akionyesha fisi mbele ya mchawi mwenzie mfipa anaechekelea......hawa ndio wanaoturudisha nyuma kimaendeleo.......ndio maana ufipani bado giza na sishangai waziri mkuu pinda kuwa na mawazo ya kigarula garula
Wasukuma sio wachawi sisi, wachawi ni wakerewe!
Msiwe wakali kiivyo wajameni uchawi mbona ni utamaduni wa kabila zetu? Mboni Wachaga wanambiwa ni wezi hawawi wakali! Njie tulieni jivunieni hiyo science yenu ya ugagula!
Wasukuma sio wachawi sisi, wachawi ni wakerewe!