Wasukuma sio wa sport sport

*KWELI.WASUKUMA NOMA... NCHI NZIMA SASA HIVI TUNA WASIKILIZA WASUKUMA WA TATU TU, MAGUFURI, MAKONDA NA GWAJIMA.... PIGA MAKOFI KWA MANGOSHA*

~Mwandishi Huru~
Mungu anisamehe, hilo kabila nimelichukua bure. sio mkabila lakini kwa bashite na bae wake, aisee siwaamini tena.
 
Huuuuh! [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Na mungu alivyo muweza na alivyo wa ajabu usikute hapo magu ndo alitakiwa kuwa mchungaji,gwajima raisi then bashite yeye na James delicious wangekuwa wanagombania migomba huko insta
 
msukuma msukume arudi kwao Mwanza..
 
Aaaaaah wasukuma utawajua tu, Hawa ndio walikua wanasifiwa kwa uungwana na upendo kwa wengine?
 
*KWELI.WASUKUMA NOMA... NCHI NZIMA SASA HIVI TUNA WASIKILIZA WASUKUMA WA TATU TU, MAGUFURI, MAKONDA NA GWAJIMA.... PIGA MAKOFI KWA MANGOSHA*

~Mwandishi Huru~
Kuna mmoja alikuwa anaitwa mzee wa kujaza mapesa a.k.a cheyo, sijui amepotelea wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…