Hiatatokea waarabu wakasema tusitumie lugha yao maana hata wao kwenye lugha yao kuna maneno wameyatohoa kutoka kwenye lugha nyingine. Pia Duka sio neno la asili ya kiarabu ni neno la Kigujarat cha nchini India.
kwa maoni yangu mimi ili kiswahili kiweze kujitegemea basi lazima kwanza zitafutwe sarufi za kiswahili kama ilivyowezekana kukitoa kiswahili kwenye serufi za kiarabu na kuzileta hapa tulipo sasa, likiwezekana hilo basi tutaweza kupunguza kuwa wategemezi wa lugha zingine na wala sio kiarabu pekee kichomimeza hii lugha yetu
Lugha ya kiswahili ilianza takriban miaka 800-1000 iliyopita,Kiswahili ni sarufi na msamiati wa Kibantu pamoja na maneno mengi ya Kiarabu. zaidi ya theluthi moja ya maneno ya Kiswahili yana asili ya Kiarabu.kuna maneno machache ya kiajemi,kihindi ,kireno na kingereza.
waswahili bado tumetawaliwa na Waarabu kupitia kwenye lugha.Tanzania ,Kiswahili ni lugha ya Taifa.mfano wa maneno ya kiarabu tunayoyatumia ni suku-soko,dukan-dukani,shai-chai,bahri-bahari,samaku-samaki,rejea-rejea,daftar-daftari,asbuh-asubuhi,........
maneno ni mengi siwezi kuyataja yote hapa.
NINI KITATOKEA ENDAPO WAARABU WATAKAA NA KUTUOMBA TUSITUMIE MANENO YAO ?,KISWAHILI KITAKUFA?.
Si zaidi ya 25% ya Kiswahili ni Kiarabu.
INGEKUA 60% YA KISWAHILI NI KIARABU KAMA BAADHI WANAVYODAI BASI WAARABU WASINGEKUA NA HAJA YA KUWA WAKALIMANI KUELEWA KISWAHILI. NA WATANZANIA WASINGEKUA NA HAJA YA MKALIMANI AU KUJIFUNZA KIARABU MAANA WANGEELEWA BILA SHIDA.
NILIWAHI KWENDA UARABUNI, NIKAWA SISIKII CHOCHOTE PUNDE WANAPOANZA KUZUNGUMZA KIARABU. NDIO UNAWEZA BAHATISHA NENO MOJA KATIKA SENTENSI NZIMA LAKINI HII HAIKUWEZESHI KUELEWA SENTENSI ILIKUA INA MAANA GANI.
Lugha ya kiswahili ilianza takriban miaka 800-1000 iliyopita,Kiswahili ni sarufi na msamiati wa Kibantu pamoja na maneno mengi ya Kiarabu. zaidi ya theluthi moja ya maneno ya Kiswahili yana asili ya Kiarabu.kuna maneno machache ya kiajemi,kihindi ,kireno na kingereza.
waswahili bado tumetawaliwa na Waarabu kupitia kwenye lugha.Tanzania ,Kiswahili ni lugha ya Taifa.mfano wa maneno ya kiarabu tunayoyatumia ni suku-soko,dukan-dukani,shai-chai,bahri-bahari,samaku-samaki,rejea-rejea,daftar-daftari,asbuh-asubuhi,........
maneno ni mengi siwezi kuyataja yote hapa.
NINI KITATOKEA ENDAPO WAARABU WATAKAA NA KUTUOMBA TUSITUMIE MANENO YAO ?,KISWAHILI KITAKUFA?.
Lugha ya kiswahili ilianza takriban miaka 800-1000 iliyopita,Kiswahili ni sarufi na msamiati wa Kibantu pamoja na maneno mengi ya Kiarabu. zaidi ya theluthi moja ya maneno ya Kiswahili yana asili ya Kiarabu.kuna maneno machache ya kiajemi,kihindi ,kireno na kingereza.
waswahili bado tumetawaliwa na Waarabu kupitia kwenye lugha.Tanzania ,Kiswahili ni lugha ya Taifa.mfano wa maneno ya kiarabu tunayoyatumia ni suku-soko,dukan-dukani,shai-chai,bahri-bahari,samaku-samaki,rejea-rejea,daftar-daftari,asbuh-asubuhi,........
maneno ni mengi siwezi kuyataja yote hapa.
NINI KITATOKEA ENDAPO WAARABU WATAKAA NA KUTUOMBA TUSITUMIE MANENO YAO ?,KISWAHILI KITAKUFA?.
Si zaidi ya 25% ya Kiswahili ni Kiarabu.
INGEKUA 60% YA KISWAHILI NI KIARABU KAMA BAADHI WANAVYODAI BASI WAARABU WASINGEKUA NA HAJA YA KUWA WAKALIMANI KUELEWA KISWAHILI. NA WATANZANIA WASINGEKUA NA HAJA YA MKALIMANI AU KUJIFUNZA KIARABU MAANA WANGEELEWA BILA SHIDA.
NILIWAHI KWENDA UARABUNI, NIKAWA SISIKII CHOCHOTE PUNDE WANAPOANZA KUZUNGUMZA KIARABU. NDIO UNAWEZA BAHATISHA NENO MOJA KATIKA SENTENSI NZIMA LAKINI HII HAIKUWEZESHI KUELEWA SENTENSI ILIKUA INA MAANA GANI.