Wakuu msaada katika kupita pita kwenye mtandao, nikakutana na hii gari na kujaribu kuiquote price ikaja hivi
Je hizo bei maana yake nini na ninaweza ipata kwa gharama mpaka mkononi mwangu msaada wakuuu
Tafadhari
View attachment 1610480
Hakuna namna ya kufanya ikawa chini ya hapo mkuuu wangu? Ujanja janja