Wataalam msaada please

Ukisha disconnect washa pc , ikiwaka itadai boot device, utazima na uta connect disk peke yake, alaf uashe Tena , pia piga picha uwe unatuma
Asante mkuu naweka picha
 

Attachments

  • IMG_20231109_125437_464.jpg
    1.3 MB · Views: 5
Nimewasha computer yangu yangu ni desktop aina ya dell Lakini inaniletea ujumbe huu shida Nini hapa wadau na nasolve aje ?
Maana kisukari kishapanda hapa
Ni ishu ya motherboard.

Unatakiwa kubadili motherboard
 
Ni ishu ya motherboard.

Unatakiwa kubadili motherboard
Aisee yawezekana mana katika angalia angalia tutorial wataalam wengi wanadai ni video card ndo inashida imelala hyo ni balaa zito
 
Aisee ujumbe BAdo
Try this, Zima pc toa kwenye umeme, kwenye motherboard toa CMOS( ki betri kdogo Kama Cha saa). Ukishatoa , shikiria button ya kuwashia kwa muda wa seconds 30. Alaf achia, Sasa connect disk peke yake, na keyboard na mouse alaf chomeka kweny umeme uashe Tena. Ikikata ku boot, video card kweny motherboard imeharibka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…