Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
- Thread starter
-
- #21
Asante mkuu nitazitumia coz hiyo cjajaribu.Pata vitamin B complex zitakusaidia sana
maji nakunywa glass mbili nusu saa au dk 20 baaba ya kula, na njaa ikianza nikinywa maji mwngi nsikia kichefuchefu na nikiendelea naweza tapika.
Sawa mkuu nitakunywa glass moja.ukisikia dalili ya njaa kunywa glasi moja tu inatosha
Sina stress kbs, ila nilikuwa mnene sn nikamua kupunguza mwili na nikapungua vizuri tu kama nilivyotaka baada kama ya miezi miwili ndio hiyo ishu ya njaa ikaanza kwa speed ya ajabu na sasa ni karibia miezi mitano nahangaika nayo, na tangu nimemwona daktari nakaribia miezi minne sasa na tatizo liko pale pale!
Pata vitamin B complex zitakusaidia sana
Asante king'asti hope hii inatia matumain na naianza kesho rasmi,coz naanza kupata picha nilipokua mnene nilikuwa nakula kupita kiasi na nilikuwa nakula hovyo kila wakati bila mpangilio nahisi ile kuacha ndio imesababisha na kuwa na njaa sana ngoja niifanye hii after one wiki nitarudi na majibu, asante sana mkuu.hapo ndo tatizo lako lilipo. imenitokea pia japo sio kwa kasi kama yako. ukipingua mwili na haswa kwa kufanya mazoezi, ukiacha mwili unakua kama vile unataka ku-compenstae ile loss. sasa hakikisha unakula 3 meals pekee,ambazo zime-balance vizuri na usile sana kupita kiasi. wakati mwingine wowote ukiskia njaa kula matunda lakini sio ndizi mbivu. that way utajaza tumbo kwa majimaji na fibres. na uta-trick ubongo wako kuwa umepata chakula. ukiweza kushinda hili mwili utatulia na kuzoea hali ya uzito ulionao sasa. unaweza pia kujitengenezea instant fibre porridge kama quacker oats (unaweka fibre kwenye zile take away cups,za chuma flani hivi zina mifuniko yake. then weka maziwa na chumvi kidogo,mimina maji ya moto na funika for 5 mins.inakua ready.so unaweza kujitengenezea hata ofisini) kwa ajili ya saa nne na saa kumi.
Najitahidi kula na ninashiba but baada ya mda mchache kama lisaa tu njaa inaniuma vibaya nimeenda hospitali nikapewa dawa za minyoo na nikashauriwa niwe natumia kila baada ya miezi miwili but still nakua na njaa na sipati nafuu nakula tofauti na wanadamu wengine.
Asante mkuu,nitayafanyia kazi,na titakutafuta.fanya hivi, kila nusu saa kabla ya kula chakula chochote kunywa glasi 2 (500 ml) za maji ya kawaida yaani siyo ya baridi, halafu kisha kula hesabu masaa mawili yapite bila kunywa wala kula chochote ndipo unywe tena maji glasi 2, ikiwa inakutokea kusikia njaa wakati umetoka kula siyo muda, chukuwa glasi moja ya maji unywe na kisha weka kipande cha chumvi ya mawe (unrefined sea salt) katika ulimi na umung'unye taratibu kama umung'unyavyo pipi. halafu punguza kunywa soda na vinywaji vingine kama chai ya rangi na kahawa. tembelea: Utangulizi | maajabu ya maji ili ujifunze mengi zaidi. unaweza pia kunitumia tu sms katika 0769779533
mmmh! kweli hii jfPata vitamin B complex zitakusaidia sana