Wataalam wa afya naombeni ushauri juu ya tatizo hili

Wataalam wa afya naombeni ushauri juu ya tatizo hili

Nyoka kibisa

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2014
Posts
568
Reaction score
1,507
Habari za saa hizi wadau wa JF?

Niende moja kwa moja kwenye hitaji langu.

Ni kwamba mke wangu anasumbuliwa sana na kichwa kuuma kwa miaka zaidi ya 15 sasa mwanzo walikuwa wanasema ni ugonjwa unaoitwa kipanda uso kwani ilikuwa ikimsumbua jioni na asubuhi tu yaan mchana anaweza kushinda salama lakini ikifika jioni kichwa kinakuwa kinamuuma saana usawa wa uso imeenda hivyo baadae ikawa inamuuma kwenye misuli ya pembeni kama misuli inataka kupasuka hivi.

Nimeenda hospitali tofauti tofauti madaktari wakashauri labda n tatizo la macho na akapewa dawa lakini wapi wengine wakahisi labda ana damu nyingi ila hana uwingi huo wa damu.

Baada ya kutumia tumia dawa alizokuwa anapewa ratiba ya kichwa kuuma ikabadilika sasa akawa anaumwa aidha kabla ya kuingia period au baada ya kutoka period.

Kuna kipindi nilipata safari ya Kenya nikaenda nae Kenya ikabidi nijaribu na hospitali za huko dokta aliyempima akatuambia tatizo ni homoni ndio maana kichwa kinamuuma kabla au baada ya kuingia kwenye mzunguko wake na alichomwa sindano ambayo nililipia kama Ksh 99 ja baadhi ya vidonge na kweli baada ya pale alikaa sawa kama miezi miwili hiyo ilikuwa ni mwaka jana.

Ila sasa tatizo limerudi pale pale kuumwa kichwa aidha siku moja kabla ya period, wakati wa period au baada ya period.

Naombeni msaada wenu katika hili.
 
Habari za saa hizi wadau wa jf?
Niende moja kwa moja kwenye hitaji langu.
Ni kwamba mke wangu anasumbuliwa sana na kichwa kuuma kwa miaka zaidi ya 15 sasa mwanzo walikuwa wanasema ni ugonjwa unaoitwa kipanda uso kwani ilikuwa ikimsumbua jioni na asbhi tu yaan mchana anaweza kushinda salama lakini ikifika jioni kichwa kinakuwa kinamuuma saana usawa wa uso imeenda hvyo baadae ikawa inamuuma kwenye misuli ya pembeni kama misuli inataka kupasuka hivi.
Nimeenda hospitali tofauti tofauti madaktari wakashauri labda n tatizo la macho na akapewa dawa lakin wapi wengine wakahisi labda ana damu nyingi ila hana uwingi huo wa damu.
Baada ya kutumia tumia dawa alizokuwa anapewa ratiba ya kichwa kuuma ikabadilika sasa akawa anaumwa aidha kabla ya kuingia period au baada ya kutoka period.
Kuna kipindi nilipata safari ya kenya nikaenda nae kenya ikabidi nijaribu na hospitali za huko dokta aliyempima akatuambia tatizo ni homoni ndio maana kichwa kinamuuma kabla au baada ya kuingia kweny mzunguko wake na alichomwa sindano ambayo nililipia kama Ksh 99 ja baadhi ya vidonge na kweli baada ya pale alikaa sawa kama miezi miwili hyo ilikuwa ni mwaka jana.
Ila sasa tatizo limerudi pale pale kuumwa kichwa aidha siku moja kabla ya period, wakati wa period au baada ya period. Naombeni msaada wenu katika hili.
Pole sana!
Aende kwa daktari bingwa wa kina mama na uzazi (obstetrician and gynecologist) kama tatizo lake la kichwa kuuma linakuja tu pale anapokaribia, anapoingia, anapokuwa kwenye siku zake na au baada ya kutoka kwenye siku zake.
Kila lakheri!
 
Pole sana!
Aende kwa daktari bingwa wa kina mama na uzazi (obstetrician and gynecologist) kama tatizo lake la kichwa kuuma linakuja tu pale anapokaribia, anapoingia, anapokuwa kwenye siku zake na au baada ya kutoka kwenye siku zake.
Kila lakheri!
Ahsante saana kwa ushauri Dr PL
 
Habari za saa hizi wadau wa jf?
Niende moja kwa moja kwenye hitaji langu.
Ni kwamba mke wangu anasumbuliwa sana na kichwa kuuma kwa miaka zaidi ya 15 sasa mwanzo walikuwa wanasema ni ugonjwa unaoitwa kipanda uso kwani ilikuwa ikimsumbua jioni na asbhi tu yaan mchana anaweza kushinda salama lakini ikifika jioni kichwa kinakuwa kinamuuma saana usawa wa uso imeenda hvyo baadae ikawa inamuuma kwenye misuli ya pembeni kama misuli inataka kupasuka hivi.
Nimeenda hospitali tofauti tofauti madaktari wakashauri labda n tatizo la macho na akapewa dawa lakin wapi wengine wakahisi labda ana damu nyingi ila hana uwingi huo wa damu.
Baada ya kutumia tumia dawa alizokuwa anapewa ratiba ya kichwa kuuma ikabadilika sasa akawa anaumwa aidha kabla ya kuingia period au baada ya kutoka period.
Kuna kipindi nilipata safari ya kenya nikaenda nae kenya ikabidi nijaribu na hospitali za huko dokta aliyempima akatuambia tatizo ni homoni ndio maana kichwa kinamuuma kabla au baada ya kuingia kweny mzunguko wake na alichomwa sindano ambayo nililipia kama Ksh 99 ja baadhi ya vidonge na kweli baada ya pale alikaa sawa kama miezi miwili hyo ilikuwa ni mwaka jana.
Ila sasa tatizo limerudi pale pale kuumwa kichwa aidha siku moja kabla ya period, wakati wa period au baada ya period. Naombeni msaada wenu katika hili.

Hili mi suala la kumuona daktari bingwa wa mishipa ya fahamu(neurologist/neurophysician).
Tatizo kwa jinsi unavyolieleza linaelekea kwenye kipanda uso/migraine.

Jambo muhimu pamoja na tiba ni kubadili mwenendo wa maisha ili kuekupata visababishi vya shambulizi la maumivu husika. Hakuna atakaekupatia tiba ya kumaliza tatizo bali dawa za kutuliza na mabadiliko ya maisha ndo msingi mkuu.

Tatizo lake ni la urithi ambayo sayansi husema inahusisha mabadiliko kwenye: mishipa ya fahamu=>homoni=>mishipa ya damu.

Mambo mengi yanahusishwa na kuanzishwa kwa mvurugiko tajwa hapo juu. Mfano:
1: Mabadiliko ya homoni wakati wa hedhi
2: Kuchoka sana
3: Mwanga mkali
4: Kutokunywa maji ya kutosha
5: Kuharibu ratiba ya usingizi au kutopata usingizi wa kutosha
6: Stress
7: Kukaa na njaa muda mrefu
8: Mabadiliko ya hali ya hewa au umbali toka usawa wa bahari.
9: Matumizi ya maziwa ya mgando
10: Matumizi ya chocolate
11: Harufu kali ya perfume
12: Moshi wa sigara
13: Mazoezi makali ndani ya muda mfupi
14: Matumizi ya pombe
15: Vyakula vilivyosindikwa/vilivyowekwa kwenye container viwandani.

NB: Muone daktari ili kuhakiki kuwa hakuna tatizo jingine na azingatie kujiepusha na vitu hapo juu kwa bile vinavyowezekana/modifiable risks endapo ugonjwa utabaki kuwa ni migraine.
 
Hili mi suala la kumuona daktari bingwa wa mishipa ya fahamu(neurologist/neurophysician).
Tatizo kwa jinsi unavyolieleza linaelekea kwenye kipanda uso/migraine.

Jambo muhimu pamoja na tiba ni kubadili mwenendo wa maisha ili kuekupata visababishi vya shambulizi la maumivu husika. Hakuna atakaekupatia tiba ya kumaliza tatizo bali dawa za kutuliza na mabadiliko ya maisha ndo msingi mkuu.

Tatizo lake ni la urithi ambayo sayansi husema inahusisha mabadiliko kwenye: mishipa ya fahamu=>homoni=>mishipa ya damu.

Mambo mengi yanahusishwa na kuanzishwa kwa mvurugiko tajwa hapo juu. Mfano:
1: Mabadiliko ya homoni wakati wa hedhi
2: Kuchoka sana
3: Mwanga mkali
4: Kutokunywa maji ya kutosha
5: Kuharibu ratiba ya usingizi au kutopata usingizi wa kutosha
6: Stress
7: Kukaa na njaa muda mrefu
8: Mabadiliko ya hali ya hewa au umbali toka usawa wa bahari.
9: Matumizi ya maziwa ya mgando
10: Matumizi ya chocolate
11: Harufu kali ya perfume
12: Moshi wa sigara
13: Mazoezi makali ndani ya muda mfupi
14: Matumizi ya pombe

NB: Muone daktari ili kuhakiki kuwa hakuna tatizo jingine na azingatie kujiepusha na vitu hapo juu kwa bile vinavyowezekana/modifiable risks endapo ugonjwa utabaki kuwa ni migraine.
Mkuu kwa jinsi ulivyoelezea nakubaliana na wewe kwani kuna baadhi ya mambo kama harufu kali na maziwa mgand akitumia lazima apate shida kidg ya mwili
 
Habari za saa hizi wadau wa jf?
Niende moja kwa moja kwenye hitaji langu.
Ni kwamba mke wangu anasumbuliwa sana na kichwa kuuma kwa miaka zaidi ya 15 sasa mwanzo walikuwa wanasema ni ugonjwa unaoitwa kipanda uso kwani ilikuwa ikimsumbua jioni na asbhi tu yaan mchana anaweza kushinda salama lakini ikifika jioni kichwa kinakuwa kinamuuma saana usawa wa uso imeenda hvyo baadae ikawa inamuuma kwenye misuli ya pembeni kama misuli inataka kupasuka hivi.
Nimeenda hospitali tofauti tofauti madaktari wakashauri labda n tatizo la macho na akapewa dawa lakin wapi wengine wakahisi labda ana damu nyingi ila hana uwingi huo wa damu.
Baada ya kutumia tumia dawa alizokuwa anapewa ratiba ya kichwa kuuma ikabadilika sasa akawa anaumwa aidha kabla ya kuingia period au baada ya kutoka period.
Kuna kipindi nilipata safari ya kenya nikaenda nae kenya ikabidi nijaribu na hospitali za huko dokta aliyempima akatuambia tatizo ni homoni ndio maana kichwa kinamuuma kabla au baada ya kuingia kweny mzunguko wake na alichomwa sindano ambayo nililipia kama Ksh 99 ja baadhi ya vidonge na kweli baada ya pale alikaa sawa kama miezi miwili hyo ilikuwa ni mwaka jana.
Ila sasa tatizo limerudi pale pale kuumwa kichwa aidha siku moja kabla ya period, wakati wa period au baada ya period. Naombeni msaada wenu katika hili.
Pole sana kwa changamoto Hio.

Ningependa kukupa Muongozo wapi pa kuanzia.( ugonjwa sawa unaweza kubainika ila shida hua kwenye kutafta chanzo kilicho leteleza yeye kuugua hivyo au visababishi (mfno stress) ambavyo huumpelekea yeye
kuanza kupata dalili hizo)

Kama tatizo analo kwa muda wa miaka hio 15 jua pia Dawa anazo tumia pia huweza kubadili mfumo wa Period akapata dalili ambazo alikuwa hapati huko nyuma kama maumizi wakati wa hedhi

Ningependa kufahamu Umri aliokua nao tatizo lilipo muanza na sahivi ana umri gani ? ili kubaini chanzo

Kwa dalili ulizoelezea (kwa vile sijamuona)
Naweza kukupa ushauri ukae na daktari wako mjadiliane haya. Yeye atakusaidia kwani ndo kamuona na anajua hali ya mgonjwa

Baada ya kukaa na daktari wako mkafanya majadiliano na utafiti naomba ukafatilie magonjwa haya maana dalili zinafanana na ulizo elezea.
Kasome machapisho ya hizi hali ( sifahamu majina ya hali hizi kwa kiswahili)

1. Migraine
2. Tensional hedache
3 Trigeminal neuralgia
4 kifafa cha mimba

Japo na wasiwasi na Mental health/ Afya ya akili sio mtu wa mawazo au kuna historia ya magonjwa ya akili katika ukoo. Maana kuna magonjwa zaidi ya 20 upande wa Afya ya akili

NAKAZIA; NINACHO KUPA NI MWANGA WA ANACHO PITIA NASIO KUKUSHAURI KUJITIBU MUONE DAKTARI WAKO MJADILI HAYA. SHIDA NI KUBAINI CHANZO CHA TATIZO SIO UGONJWA
Screenshot_20241028-224218_Opera Mini.jpg
Screenshot_20241028-224413_Opera Mini.jpg
Screenshot_20241028-224524_Opera Mini.jpg
Screenshot_20241028-224713_Opera Mini.jpg

Natumahi umepata mwongozo . Jadiliana hayo na daktari wako
 
Pole sana kwa changamoto Hio.

Ningependa kukupa Muongozo wapi pa kuanzia.( ugonjwa sawa unaweza kubainika ila shida hua kwenye kutafta chanzo kilicho leteleza yeye kuugua hivyo au visababishi (mfno stress) ambavyo huumpelekea yeye
kuanza kupata dalili hizo)

Kama tatizo analo kwa muda wa miaka hio 15 jua pia Dawa anazo tumia pia huweza kubadili mfumo wa Period akapata dalili ambazo alikuwa hapati huko nyuma kama maumizi wakati wa hedhi

Ningependa kufahamu Umri aliokua nao tatizo lilipo muanza na sahivi ana umri gani ? ili kubaini chanzo

Kwa dalili ulizoelezea (kwa vile sijamuona)
Naweza kukupa ushauri ukae na daktari wako mjadiliane haya. Yeye atakusaidia kwani ndo kamuona na anajua hali ya mgonjwa

Baada ya kukaa na daktari wako mkafanya majadiliano na utafiti naomba ukafatilie magonjwa haya maana dalili zinafanana na ulizo elezea.
Kasome machapisho ya hizi hali ( sifahamu majina ya hali hizi kwa kiswahili)

1. Migraine
2. Tensional hedache
3 Trigeminal neuralgia
4 kifafa cha mimba

Japo na wasiwasi na Mental health/ Afya ya akili sio mtu wa mawazo au kuna historia ya magonjwa ya akili katika ukoo. Maana kuna magonjwa zaidi ya 20 upande wa Afya ya akili

NAKAZIA; NINACHO KUPA NI MWANGA WA ANACHO PITIA NASIO KUKUSHAURI KUJITIBU MUONE DAKTARI WAKO MJADILI HAYA. SHIDA NI KUBAINI CHANZO CHA TATIZO SIO UGONJWA
View attachment 3137709View attachment 3137710View attachment 3137711View attachment 3137713
Natumahi umepata mwongozo . Jadiliana hayo na daktari wako
Mkuu nashukuru kwa mwongozo ni kwamba huyu mke wangu nimemkuta ana tatizo hili lakini mwanzo na sasa ni tofauti.
Mwanzo (akiwa binti) alikuwa anaumwa tu kila baada ya wiki moja lazima kichwa kiume jioni jua linapozama na usiku kucha ikifika asbhi anapona kabsaa ikipita wiki moja tena hali inajirudia tukapata matibabu lakn hali haikuwa na mabadiliko saana imeenda hv mpk alipojifungua mtoto wa kwanza ndio ratiba ya kuumwa kichwa ikawa kabla au baada ya kuingia period na ikimuanza jioni kufika asbhi anakuwa yuko sawa
Nashukuru kwa mwanga ulionipa na ninayoendelea kupata maana hii hali kuna muda naona amani ndani ya nyumba inakosekana kabsa.
 
Pole sana kwa changamoto Hio.

Ningependa kukupa Muongozo wapi pa kuanzia.( ugonjwa sawa unaweza kubainika ila shida hua kwenye kutafta chanzo kilicho leteleza yeye kuugua hivyo au visababishi (mfno stress) ambavyo huumpelekea yeye
kuanza kupata dalili hizo)

Kama tatizo analo kwa muda wa miaka hio 15 jua pia Dawa anazo tumia pia huweza kubadili mfumo wa Period akapata dalili ambazo alikuwa hapati huko nyuma kama maumizi wakati wa hedhi

Ningependa kufahamu Umri aliokua nao tatizo lilipo muanza na sahivi ana umri gani ? ili kubaini chanzo

Kwa dalili ulizoelezea (kwa vile sijamuona)
Naweza kukupa ushauri ukae na daktari wako mjadiliane haya. Yeye atakusaidia kwani ndo kamuona na anajua hali ya mgonjwa

Baada ya kukaa na daktari wako mkafanya majadiliano na utafiti naomba ukafatilie magonjwa haya maana dalili zinafanana na ulizo elezea.
Kasome machapisho ya hizi hali ( sifahamu majina ya hali hizi kwa kiswahili)

1. Migraine
2. Tensional hedache
3 Trigeminal neuralgia
4 kifafa cha mimba

Japo na wasiwasi na Mental health/ Afya ya akili sio mtu wa mawazo au kuna historia ya magonjwa ya akili katika ukoo. Maana kuna magonjwa zaidi ya 20 upande wa Afya ya akili

NAKAZIA; NINACHO KUPA NI MWANGA WA ANACHO PITIA NASIO KUKUSHAURI KUJITIBU MUONE DAKTARI WAKO MJADILI HAYA. SHIDA NI KUBAINI CHANZO CHA TATIZO SIO UGONJWA
View attachment 3137709View attachment 3137710View attachment 3137711View attachment 3137713
Natumahi umepata mwongozo . Jadiliana hayo na daktari wako
Mkuu nashukuru kwa mwongozo ni kwamba huyu mke wangu nimemkuta ana tatizo hili lakini mwanzo na sasa ni tofauti.
Mwanzo (akiwa binti) alikuwa anaumwa tu kila baada ya wiki moja lazima kichwa kiume jioni jua linapozama na usiku kucha ikifika asbhi anapona kabsaa ikipita wiki moja tena hali inajirudia tukapata matibabu lakn hali haikuwa na mabadiliko saana imeenda hv mpk alipojifungua mtoto wa kwanza ndio ratiba ya kuumwa kichwa ikawa kabla au baada ya kuingia period na ikimuanza jioni kufika asbhi anakuwa yuko sawa
Nashukuru kwa mwanga ulionipa na ninayoendelea kupata maana hii hali kuna muda naona amani ndani ya nyumba inakosekana kabsa.
 
Mkuu nashukuru kwa mwongozo ni kwamba huyu mke wangu nimemkuta ana tatizo hili lakini mwanzo na sasa ni tofauti.
Mwanzo (akiwa binti) alikuwa anaumwa tu kila baada ya wiki moja lazima kichwa kiume jioni jua linapozama na usiku kucha ikifika asbhi anapona kabsaa ikipita wiki moja tena hali inajirudia tukapata matibabu lakn hali haikuwa na mabadiliko saana imeenda hv mpk alipojifungua mtoto wa kwanza ndio ratiba ya kuumwa kichwa ikawa kabla au baada ya kuingia period na ikimuanza jioni kufika asbhi anakuwa yuko sawa
Nashukuru kwa mwanga ulionipa na ninayoendelea kupata maana hii hali kuna muda naona amani ndani ya nyumba inakosekana kabsa.
Sijui kama usha sikia stori za mtu kuugua tu pale mbalamwez unapotokea na kuwa vizuri ukiondoka. Tatizo hiko linaweza kufanana na hilo. Wasiliana na wataalam na watu wa miti shambs huenda wakasaidia kutafta chanzo
 
Sijui kama usha sikia stori za mtu kuugua tu pale mbalamwez unapotokea na kuwa vizuri ukiondoka. Tatizo hiko linaweza kufanana na hilo. Wasiliana na wataalam na watu wa miti shambs huenda wakasaidia kutafta chanzo
Ahsante mkuu
 
Back
Top Bottom