Wataalam wa Albaba msaada hapa

October man

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2017
Posts
3,635
Reaction score
5,012
Wadau wanaojua mambo ya kununua vitu online wanisaidie je hapo bei ya hizi bidhaa ni yepi maana inavyoandikwa kama hivi inanichanganya $500.000-1000.000

Nipeni uchambuzi na je nikiagiza bidhaa kama hiyo itafika TZ na je kutakiwa na kodi yoyote.
 
Hata mimi hii huwa inanichanganya sana............sielewagi kabisa yan.
 
Hizo bei huwa wanarange kutokana na items utakazoagiza.

Kama ukiclick moja ya item baadhi huwa wanaonyesha price kwa minimum items huwa ni kubwa.

Ila items ukichukuwa nyingi price inakuwa ndogo kuendana na range ya price suplier aliyoiweka
 
Write your reply...
niliona simu smartphone inauzwa $1-$29.9!nikawaza hii $29.9 mbona hela ndogo sana isije kuwa bosheni wakaniingiza mjini..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…