Hbari zenu ndugu zangu. Nilihamasika juzi kati nikapost bidhaa yangu huko Alibaba. Sasa suala ni kuwa nimepata prospective client anataka mzigo huo lakini kwa kiwango kikubwa kuliko hata uwezo wangu wa kusupply. Haina shida nitaoutsource kwa kuwa nahitaji dili.
Tatizo ni kuwa kuna red flags. Kwanza huyo prospective buyer ni from W.Africa, Benin. Pili anataka mzigo wa thamani ya Miln 200. (Ndio millioni mia mbili. Tatu anataka uwe kwa shipping CFR terms. Kiukweli hayo mambo ya CFR, FOB na CIF nayajua sana tu kwa elimu ya darasani ila kwa vitendo ndio naaza kujaribu sijawahi kupractice. Tatu si itabidi niwe na export license nikitumia sea transport kuuza mzigo mwingi hivyo? Wakati mimi ni kijana tu graduate hata kampni sina wala leseni wala hizo export license, ndio kwanza ninjaribu kutoka kwa kuanza na transaction nyepesi?
Tatu, kuhusu malipo. Tanzania hatuna paypal kwa seller. Au mimi ndio sijui? Na pia ninafikiria kumwambia alipe kwanza, tena kupitia western Union or other money transfer ili kuepuka mimi kutuma mzigo bila kulipwa na kupigwa changa. Pia nakwepa kumpa taarifa zangu za bank kwa ajili ya EFT kwa kuwa nahisi inaweza kuwa ni mpango wa kuphish details na kuempty akunt yangu. Je niko sahihi?
Msaada wenu tafadhali wa mawazo. Natanguliza shukrani.
Tatizo ni kuwa kuna red flags. Kwanza huyo prospective buyer ni from W.Africa, Benin. Pili anataka mzigo wa thamani ya Miln 200. (Ndio millioni mia mbili. Tatu anataka uwe kwa shipping CFR terms. Kiukweli hayo mambo ya CFR, FOB na CIF nayajua sana tu kwa elimu ya darasani ila kwa vitendo ndio naaza kujaribu sijawahi kupractice. Tatu si itabidi niwe na export license nikitumia sea transport kuuza mzigo mwingi hivyo? Wakati mimi ni kijana tu graduate hata kampni sina wala leseni wala hizo export license, ndio kwanza ninjaribu kutoka kwa kuanza na transaction nyepesi?
Tatu, kuhusu malipo. Tanzania hatuna paypal kwa seller. Au mimi ndio sijui? Na pia ninafikiria kumwambia alipe kwanza, tena kupitia western Union or other money transfer ili kuepuka mimi kutuma mzigo bila kulipwa na kupigwa changa. Pia nakwepa kumpa taarifa zangu za bank kwa ajili ya EFT kwa kuwa nahisi inaweza kuwa ni mpango wa kuphish details na kuempty akunt yangu. Je niko sahihi?
Msaada wenu tafadhali wa mawazo. Natanguliza shukrani.