check tena baada ya week 2
au azima kitabu cha biology kwa mwanafunzi karibu yako.
LMfAO! Sina mbavu hapa!
Afu shemeji yake ka-do na wenyewe amekuja kumshtakia hedhi bro inlOw! Kha!
kasema ni sister in law
week moja baadsa ya kukosa siku zake.mkuu kipimo cha U.P.T kina uwezo wa kutoa majibu ya ujauzito ukiwa umefikia umri gani? 7bu tangu siku ame-du na husband wake, leo ni siku ya 22 na alifanya test tarehe 04 may baada ya kutokupata hedhi tarehe 28 april so ni more than two weeks now!
DAWA ZA KUTEREMSHA HEDHI.
Ikiwa hedhi imezuilika kwa kufikia umri wa kumaliza au ni kwasababu ya mimba, inafahamika lakini ikiwa si kwasababu mbili hizo basi hufanyiwa dawa na kuirudisha hedhi.
1. Kunywa chai ya mdalasini.
2. Mvuje ukinywewa pamoja na pilipilimanga huteremsha hedhi iliyo fungwa katika uzai au mapito yake.
3. Manemane ikipondwa na ukinywa siku tatu asubuhi kabla ya kula chakula
4. Kitunguu saumu na maganda yake huteremsha hedhi
5. Kunywa maji yaliyochemsha na zaatari.
Mwambie huyo shemeji yako ajaribu kutumia hizo dawa kisha unipe feedback.
DAWA ZA KUTEREMSHA HEDHI.
Ikiwa hedhi imezuilika kwa kufikia umri wa kumaliza au ni kwasababu ya mimba, inafahamika lakini ikiwa si kwasababu mbili hizo basi hufanyiwa dawa na kuirudisha hedhi.
1. Kunywa chai ya mdalasini.
2. Mvuje ukinywewa pamoja na pilipilimanga huteremsha hedhi iliyo fungwa katika uzai au mapito yake.
3. Manemane ikipondwa na ukinywa siku tatu asubuhi kabla ya kula chakula
4. Kitunguu saumu na maganda yake huteremsha hedhi
5. Kunywa maji yaliyochemsha na zaatari.
Mwambie huyo shemeji yako ajaribu kutumia hizo dawa kisha unipe feedback.
Mabadiliko kwenye mwili,mabadiliko ya hali ya hewa,kutumia njia za family planing sometimes husababisha m/ke kukosa MP,sasa kama hana mimba may be sababu nilizotaja zaweza kua chanzo,kuhusu afanyeje fuata ushauri wa mkuu hapo juu