1 hamna mjadala
CALCULUS na sio calculas....jibu ni 9 kivip....embu open mabano....6/2*3....alafu gawanya jibu ni 9 au 1??Jibu ni 9. Haya ni maswali ya STD VII, hakuna swala la mathematicians hapo.
Unapoongelea ishu za mathematicians atleast leta mambo ya Newtonian Motions, Calculas, etc...
Jibu ni moja kwa kutumia njia gan
Jibu ni 9. Haya ni maswali ya STD VII, hakuna swala la mathematicians hapo.
Unapoongelea ishu za mathematicians atleast leta mambo ya Newtonian Motions, Calculas, etc...
6/ 2(1+2) = 6/(2x1) + (2x2)
= 6/(2+4)
= 6/6
= 1
Kwa hiyo jibu ni moja
Njia uliyotumia ni ngumu, fuata MAGAZIJUTO = (MA-Mabano, GA-Gawanya, ZI-Zidisha, JU-Jumlisha , TO-Toa)
6/2(1+2)------MA
Mabano
(1+2)=3
Hivyo basi
6/2X3------GA
Gawanya
6/2 X 3
Hivyo basi
6/2 = 3 X 3
Mwisho
Jibu ni 9
Tufuate taratibu za hesabu.
1. Hatufungui mabano bali unasolve na kupata jibu la Mabano.
2. Inayofuata ni GAWANYA sio ZIDISHA 6 / 2 X 3
3. Mwisho ZIDISHA 3 X 3
Ambayo ni 9
Ndugu zangu hesabu sio rahisi ki hivyo.
Pole wajomba kwa kukureupuka na kejeri!!!!!.