Wataalam wa madini nisaidieni

popo1986

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2014
Posts
1,120
Reaction score
372
Hivi nasikia Tanzania hii kuna madini mengi sana jamani na biashara ya madini watu wanatengeneza pesa sana mm nataka maarifa juu ya madini haya yanayo patikana humu nchi
1. Greenganet
2. Acqumarine..

Samahani kama nimekosea kuyaandika siyajui vzr
 
Hivi nasikia Tanzania hii kuna madini mengi sana jamani na biashara ya madini watu wanatengeneza pesa sana mm nataka maarifa juu ya madini haya yanayo patikana humu nchi
1. Greenganet
2. Acqumarine..

Samahani kama nimekosea kuyaandika siyajui vzr
1:Greengarnet ipo tanga, lindi, morogoro.

2: aquamarine ipo Namtumbo Songea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…