Nnani alianza kufikiri kumuacha mwingine?? Kama ni mke, hakuna dawa ya kumponya kakako. Dawa ni mke ashuke moyo amrudiye mume wake. Hakuna kitu kibaya kama wakati kakako alitegemea mmsaidie kumtuliza mkewe kumbe mkamruhusu kuondoka.
Pili, kama kaka ndiye chanzo cha talaka. huenda alidhani mkewe atang'ang'ania kwake kumbe mama ndo kafurahia utengano.
Anafikiri namna ya kumuomba warudiane. Itakuwa kimbembe. Lakini dawa ni kumrudisha mama