I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Wote hatujui.Kwanini aliye release video ali mute sauti kwanza? Lengo lilikuwa nini
Mashaka yanaanzia hapoWote hatujui.
We mzee hulali???Mashaka yanaanzia hapo
Huku kumekucha
Mashaka yanaanzia hapo
Kila kitu hapo kinafanya kazi
hiyo mechanism inaitwajeKwa mfumo wa helicopter inaweza kufanya kazi kuruka hata kama haifanyi kazi sababu engine inajitegemea panga zipo kwa ajiri supports kidogo na kupunguza kukata upepo
Duh, sema yanazunguka kidg... ukiangalia kwa makinVideo nyingine hii
View attachment 2303917
Jina lake limenitoka kidogo ila yale mafeni yanasaidi kwenye kuilift helicopter technically yakifeli helicopter inaweza kwenda umbali mrefe kidogo pasipo rotor na kutua pasipo tatizohiyo mechanism inaitwaje
Okay chiefJina lake limenitoka kidogo ila yale mafeni yanasaidi kwenye kuilift helicopter technically yakifeli helicopter inaweza kwenda umbali mrefe kidogo pasipo rotor na kutua pasipo tatizo