Ballot
Member
- Jan 4, 2012
- 39
- 12
wakuu kuna kitu kinanisumbua sana!mimi sijao lakini umri umesogea'nimekuwa na uhusiano na wanawake wengi'kinachonishangaza ni baadhi ya wanawake nikifanya na mapenzi inakuwa shughuli pevu'yaani natafuna mzigo kinoma wakati mwingine inaweza kufika mpaka dakika 30'lakini nimekutana na mwanamke ambaye nahisi naweza kudumu naye'cha kushangaza yaani nikiingiza tu nakojoa hapo hapo'yaani mara tatu zote yanajirudia yaleyale'aibu tupu ndugu zangu tatizo ni ninii?mbona wengine tunadumu muda mrefu wengine ukiingiza tu unakojoa??