Wataalam wa mazingira hili limewashinda?

Wataalam wa mazingira hili limewashinda?

singojr

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2014
Posts
5,313
Reaction score
6,895
Tatizo la takataka za chupa za plastic lilipatikana baada ya kampuni za uzalishaji kuamua ku-recycle hivyo kuwapa "ajira" waokota makopo.

Lakini kuna hizi chupa za energy drink. Mo Energy na Azam Energy hizi huwekwa kwenye chupa za plastic za rangi ambazo kamwe sio dili kwa waokota makopo.

Wanamazingira mmeshindwa kuwashawishi hizi kampuni kubadili chupa zao ili nazo ziwe recycled?

Kwa kweli zinaongoza kwa uchafuzi wa mazingira.
 
mi natafuta recycle ya chupa za glass tuongee jambo

mikoa yenye baridii kuna chupa nyingi za k-vant/konyagi etc zimezagaa sanaa
 
Kuna kipindi boss mwamedi alidai anazinunua yeye mwenyewe baada ya kupigiwa kelele.

Sema huyu boss bana mambo yake ni chenga tupu[emoji16][emoji16][emoji16].
 
Mo anaruka ruka
FB_IMG_16283163603417881.jpg
 
Back
Top Bottom