Wataalam wa saikolojia na afya, Je kuna uhusiano gani hofu ya vitisho na kujaamba au kujikojolea?

Wataalam wa saikolojia na afya, Je kuna uhusiano gani hofu ya vitisho na kujaamba au kujikojolea?

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Tafti zinaonesha watu wengi wanaopigwa mkwara wa ghafla mbele ya kadamnasi au popote hujamba au kujikojolea!

Je kuna uhusiano gani kati ya hofu au vitisho na kujamba?
 
kwa maaana matendo yote hayo yasiyo ya hiyari huratibiwa na ubongo wa nyuma huwa kuna ram kuzidiwa uwezo kujikuta inashindwa kusimamia mambo yote kwa wakati mmoja na kuachana na mengine.
 
kwa maaana matendo yote hayo yasiyo ya hiyari huratibiwa na ubongo wa nyuma huwa kuna ram kuzidiwa uwezo kujikuta inashindwa kusimamia mambo yote kwa wakati mmoja na kuachana na mengine.
Kama nakuelewa kwa mbali lakini hayo mengine kwanini isiwe kucheka! Iwe kujamba na haja ndogo?
 
Kuna janga tulipataga office kwetu kipindi Cha awamu ya bwana yule mfilisi watu,mwaka 2016, Sasa ilikuja task force ya Tra na wengineo kufanya upekuzi home baada yakufanya upekuzi godown kwetu,
Basi uwezi amini wife alipata period gafla kwa ile hofu
 
Kuna janga tulipataga office kwetu kipindi Cha awamu ya bwana yule mfilisi watu,mwaka 2016, Sasa ilikuja task force ya Tra na wengineo kufanya upekuzi home baada yakufanya upekuzi godown kwetu,
Basi uwezi amini wife alipata period gafla kwa ile hofu
Oooh tumbo la uzazi lilifungoka
 
Kama nakuelewa kwa mbali lakini hayo mengine kwanini isiwe kucheka! Iwe kujamba na haja ndogo?
hutokea pia,mtu hulia,anaweza akacheka,akatoa kamasi au kwa wanamama akaingia mwezini ama kumwaga manii kwa wanaume.
 
Hkn huuo uhisiano wa kujamba .labda usema ushikwe tumbo la hofu tu Kama Kuna kitu kimekuja gafla na sikutegeme huwa nasikia haja I don't know why it should happen
 
Hkn huuo uhisiano wa kujamba .labda usema ushikwe tumbo la hofu tu Kama Kuna kitu kimekuja gafla na sikutegeme huwa nasikia haja I don't know why it should happen
Ebu iweke kitaalam
 
Back
Top Bottom