Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Mwaka juzi nilimtafuta Prof Mmoja aliyekuwa Chuo, nilienda kuomba ushauri fulani wa Kilimo, nikaambiwa amestaafu na kuchukuliwa na Wizara ya Kilimo Nchini Zambia kama mshauri mkuu.
Nikawa nawazia kuwa wataalamu kama hao ni vizuri kuwafuatilia na kunufaika nao kwa kadri inavyofaa.
Mfano: Wataalamu wanaojihusisha na utafiti wa Mbegu, magonjwa na mimea, Waganga wa mifugo nk.
Nakumbuka, kuna Doctor mmoja wa Mifugo (nafikiri ana Diploma yule) aliniambia ametibu mifugo kwa takribani miaka 25 na ndio amestaafu anasema; baadhi ya dalili za magonjwa ya mifugo zimebadilika sana ukilinganisha na zinazofundishwa vyuoni.
Nafikiri ipo haja ya kutengeneza mazingira ya kupata feed back ya wataalam walichojifunza wakati wa kutekeleza majukumu yao hadi kustaafu na kupewa nafasi ya kupendekeza maboresho.
NK NK NK
Nikawa nawazia kuwa wataalamu kama hao ni vizuri kuwafuatilia na kunufaika nao kwa kadri inavyofaa.
Mfano: Wataalamu wanaojihusisha na utafiti wa Mbegu, magonjwa na mimea, Waganga wa mifugo nk.
Nakumbuka, kuna Doctor mmoja wa Mifugo (nafikiri ana Diploma yule) aliniambia ametibu mifugo kwa takribani miaka 25 na ndio amestaafu anasema; baadhi ya dalili za magonjwa ya mifugo zimebadilika sana ukilinganisha na zinazofundishwa vyuoni.
Nafikiri ipo haja ya kutengeneza mazingira ya kupata feed back ya wataalam walichojifunza wakati wa kutekeleza majukumu yao hadi kustaafu na kupewa nafasi ya kupendekeza maboresho.
NK NK NK