Wataalam wa sheria naomba msaada; Je, niendelee na hii kesi niliyoachiwa na marehemu mama yangu au niachane nayo? Ni kesi ya kiwanja kikubwa Dodoma

Wataalam wa sheria naomba msaada; Je, niendelee na hii kesi niliyoachiwa na marehemu mama yangu au niachane nayo? Ni kesi ya kiwanja kikubwa Dodoma

Mswati II

Senior Member
Joined
Dec 13, 2017
Posts
139
Reaction score
374
Habari zenu manguli wa sheria?

Naomba msaada mama yangu mzazi miaka 10 iliyopita alianzisha kesi kati yake na Taasisi moja kubwa sana ya kidini nchini! Taasisi hiyo iliuziwa kiwanja kikubwa sana na mzee wangu pasipo kumshirikisha bimkubwa nakati ni wana ndoa halali na eneo hilo walinunua pamoja wakiwa wana ndoa sasa kesi ilikuwa kwenye hatua ya majibishano ya kisheria kwa maandishi baina ya wakili wa bimkubwa na wakili alie husika katika uuzaji wa eneo hilo kinyume cha sheria.

Kuna muda bimkubwa aka stop kwanza kuendelea na kesi akawa yupo busy kumuuguza mzee ambae ana maradh ya kupooza sasa kuna siku bimkubwa aliniita na kunikabidh nyaraka zote mikataba batili ya mauziano ya kiwanja kile pamoja na maandishi ya majibizano ya kisheria baina ya mawakili baada ya kunikabidh akaniambia ikitokea yeye hayupo duniani basi huko mbeleni nikomae na hii kesi maana kuna haki yetu sisi watoto wake

Sasa juzi katika kupekua documents ndo nikakuta hili file la hii kesi lina documents zote muhimu ukiwepo mkataba wa uhamisho wa umiliki ukiwa umesainiwa na kuwekwa picha ya mzee tu bila bimkubwa kushirikiahwa chochote! Sasa wakuu bimkubwa alishatangulia mbele za haki miaka 5 iliyopita! je nianze na hii kesi kudai haki yetuu maana hiyo Taasisi hilo eneo kubwa sana wamejenga kanisa, shule nk.

WATAALAM NAOMBENI MAWAZO YENU NA USHAURI WENU WA KISHERIA PIA MIMI LENGO LANGU SIO KWAMBA NATAKA ENEO LIRUDI KWETU HAPANA NATAKA TUKAE MEZANI UPYA ILI HAKI YA BIMKUBWA IPATIKANE SABAB ENEO WALILINUNUA PAMOJA NA MZEE WAKIWA WANANDOA.
 
Kwenye masuala ya mali ya urithi nina ushauri mmoja tu pesa hufuata pesa. Kama una uwezo wa kiuchumi kuikabili hio kesi fuatilia madai yako. Kama hauna uwezo wa kifedha kubali na shirikiana na wakili mzuri uingie nae mkataba kuwa baada ya kupata haki yako utampooza. Hivi ndio njia pekee. Chanzo kikubwa cha kushindwa kwa kesi za urithi ni wahusika kutokubali ukweli kuwa hawana uwezo wa kifedha na wanahitaji msada. Na kama mnavyojua hakuna kitu cha bure duniani. Nimekazia hapo kuingia mkataba na wakili mzuri na si mtu yeyote mwenye fedha.
Nashukuru kwa ushauri mzuri kiongozi! Uwezo wa kumlipa wakili ninao lakin pia nataka nikae nao mezani kwanza kama tutaweza kuyamaliza mezani fresh wakigoma basi tutakutana mahakamani
 
Habari zenu manguli wa sheria?

Naomba msaada mama yangu mzazi miaka 10 iliyopita alianzisha kesi kati yake na Taasisi moja kubwa sana ya kidini nchini! Taasisi hiyo iliuziwa kiwanja kikubwa sana na mzee wangu pasipo kumshirikisha bimkubwa nakati ni wana ndoa halali na eneo hilo walinunua pamoja wakiwa wana ndoa sasa kesi ilikuwa kwenye hatua ya majibishano ya kisheria kwa maandishi baina ya wakili wa bimkubwa na wakili alie husika katika uuzaji wa eneo hilo kinyume cha sheria.

Kuna muda bimkubwa aka stop kwanza kuendelea na kesi akawa yupo busy kumuuguza mzee ambae ana maradh ya kupooza sasa kuna siku bimkubwa aliniita na kunikabidh nyaraka zote mikataba batili ya mauziano ya kiwanja kile pamoja na maandishi ya majibizano ya kisheria baina ya mawakili baada ya kunikabidh akaniambia ikitokea yeye hayupo duniani basi huko mbeleni nikomae na hii kesi maana kuna haki yetu sisi watoto wake

Sasa juzi katika kupekua documents ndo nikakuta hili file la hii kesi lina documents zote muhimu ukiwepo mkataba wa uhamisho wa umiliki ukiwa umesainiwa na kuwekwa picha ya mzee tu bila bimkubwa kushirikiahwa chochote! Sasa wakuu bimkubwa alishatangulia mbele za haki miaka 5 iliyopita! je nianze na hii kesi kudai haki yetuu maana hiyo Taasisi hilo eneo kubwa sana wamejenga kanisa, shule nk.

WATAALAM NAOMBENI MAWAZO YENU NA USHAURI WENU WA KISHERIA PIA MIMI LENGO LANGU SIO KWAMBA NATAKA ENEO LIRUDI KWETU HAPANA NATAKA TUKAE MEZANI UPYA ILI HAKI YA BIMKUBWA IPATIKANE SABAB ENEO WALILINUNUA PAMOJA NA MZEE WAKIWA WANANDOA.
Pole kwa changamoto,ila unaweza kufanya mawasiliano na Wakili aliyekuwa akimuwakilisha Marehemu Mama yako kujua mwenendo wa kesi yako,ili uweze kufahamu hatua za kufuata,pia mlishafungua kesi ya Mirathi ya Marehemu Mama na Baba yako? je,wewe ni msimamizi wa mirathi?
 
Mkuu fuatilia baada ya kuonan na wakili mzuri pia hizo document ni vizuri ukazipg kopy sio kuzurura na hizo og "peace is for weaks fight that war"
 
Miaka 5 bila shaka iyo case itakua imesha tupiliwa mbali cha kwanza ni ujue status ya case ikoje, cha pili alie kabidhiwa usimamizi wa mali za mama ako ndo anae weza kuendelea na iyo case, kama sio wewe apo labda ufungue mpya
 
Habari zenu manguli wa sheria?

Naomba msaada mama yangu mzazi miaka 10 iliyopita alianzisha kesi kati yake na Taasisi moja kubwa sana ya kidini nchini! Taasisi hiyo iliuziwa kiwanja kikubwa sana na mzee wangu pasipo kumshirikisha bimkubwa nakati ni wana ndoa halali na eneo hilo walinunua pamoja wakiwa wana ndoa sasa kesi ilikuwa kwenye hatua ya majibishano ya kisheria kwa maandishi baina ya wakili wa bimkubwa na wakili alie husika katika uuzaji wa eneo hilo kinyume cha sheria.

Kuna muda bimkubwa aka stop kwanza kuendelea na kesi akawa yupo busy kumuuguza mzee ambae ana maradh ya kupooza sasa kuna siku bimkubwa aliniita na kunikabidh nyaraka zote mikataba batili ya mauziano ya kiwanja kile pamoja na maandishi ya majibizano ya kisheria baina ya mawakili baada ya kunikabidh akaniambia ikitokea yeye hayupo duniani basi huko mbeleni nikomae na hii kesi maana kuna haki yetu sisi watoto wake

Sasa juzi katika kupekua documents ndo nikakuta hili file la hii kesi lina documents zote muhimu ukiwepo mkataba wa uhamisho wa umiliki ukiwa umesainiwa na kuwekwa picha ya mzee tu bila bimkubwa kushirikiahwa chochote! Sasa wakuu bimkubwa alishatangulia mbele za haki miaka 5 iliyopita! je nianze na hii kesi kudai haki yetuu maana hiyo Taasisi hilo eneo kubwa sana wamejenga kanisa, shule nk.

WATAALAM NAOMBENI MAWAZO YENU NA USHAURI WENU WA KISHERIA PIA MIMI LENGO LANGU SIO KWAMBA NATAKA ENEO LIRUDI KWETU HAPANA NATAKA TUKAE MEZANI UPYA ILI HAKI YA BIMKUBWA IPATIKANE SABAB ENEO WALILINUNUA PAMOJA NA MZEE WAKIWA WANANDOA.
1. Awali ya yote kabisa, ni lazima ufuatilie kwanza Mahakamani ili ujue Kesi hiyo iliishia wapi au inaendeleaje. Kama ilifutwa au la, baada ya hapo ndipo unaweza kujua Nini cha kufanya.
2. Endapo kama Kesi bado ipo na haijafutwa au kutolewa Uamuzi, pata ushauri wa kisheria juu ya Nini hasa unapaswa kufanya, Nini hasa kinaendelea au kinachopaswa kufanyika.
3. Je, wewe ni Msimamizi halali wa Mirathi ya Marehemu Mama yako/yenu? Je, baba yako bado yupo hai au naye tayari ameshatangulia mbele za haki? Haujaeleza kuhusu suala hili kwenye hili bandiko lako.
4. Aidha, Chukua tahadhari kubwa sana kuhusiana na suala la Ukomo wa Muda wa Kuanzisha Kesi za Madai ya Ardhi kwenye masuala ya namna hii, hususani kuhusiana na Sheria ya Ukomo (The Law of Limitations Act). Usipokuwa Mwangalifu unaweza ukaanzisha Madai halali kabisa lakini unaweza ukawekewa Pingamizi la Kisheria kuhusu Ukomo wa kuanzisha Kesi Kama hiyo na unaweza ukapoteza haki zako zote kabisa sambamba na Kutozwa Faini kwa Usumbufu.
5. Ikiwezekana, unaweza kwenda kuonana na Wanunuzi wa Ardhi inayoshibishaniwa ili kuweza kuona namna ya kulimaliza suala hilo kwa njia za mazungumzo ya mezani kuliko kwenda Mahakamani.
 
Miaka 5 bila shaka iyo case itakua imesha tupiliwa mbali cha kwanza ni ujue status ya case ikoje, cha pili alie kabidhiwa usimamizi wa mali za mama ako ndo anae weza kuendelea na iyo case, kama sio wewe apo labda ufungue mpya
Ajue kwanza Status ya Kesi, ndipo ajue Nini cha kufanya. Kufungua Kesi nyingine mpya inaweza kuwa suala gumu sana kwake, Mahakama inaweza ikaitupilia mbali na kuifuta kwa kigezo cha kisheria ambacho wenyewe Wanasheria wanakiita kuwa ni "res judicator," sijui kama spellings za maneno haya ziko sahihi, mtanirekebisha endapo kama nimekosea spelling.
 
Sasa kama marehemu baba yako aliuza kiwanja(kimagumashi) unahangaika na kesi ya nini, wakati mzee alikula mpunga. Potezea tu.
 
Pole kwa changamoto,ila unaweza kufanya mawasiliano na Wakili aliyekuwa akimuwakilisha Marehemu Mama yako kujua mwenendo wa kesi yako,ili uweze kufahamu hatua za kufuata,pia mlishafungua kesi ya Mirathi ya Marehemu Mama na Baba yako? je,wewe ni msimamizi wa mirathi?
Asante sana, mimi ndio msimamizi wa mirath bado sijafungua kesi ya mirath ndo nataka nianze hatua za awali
 
Mkuu fuatilia baada ya kuonan na wakili mzuri pia hizo document ni vizuri ukazipg kopy sio kuzurura na hizo og "peace is for weaks fight that war"
Asante sana kwa ushauri!
 
Miaka 5 bila shaka iyo case itakua imesha tupiliwa mbali cha kwanza ni ujue status ya case ikoje, cha pili alie kabidhiwa usimamizi wa mali za mama ako ndo anae weza kuendelea na iyo case, kama sio wewe apo labda ufungue mpya
Haikufika hatua ya kwenda mahakamani ilikuwa kwenye hatau ya majibishano ya kimaandishi baina ya mawakili wa pande mbili, pia msimamiz wa mirath ni mimi mwenyewe
 
1. Awali ya yote kabisa, ni lazima ufuatilie kwanza Mahakamani ili ujue Kesi hiyo iliishia wapi au inaendeleaje. Kama ilifutwa au la, baada ya hapo ndipo unaweza kujua Nini cha kufanya.
2. Endapo kama Kesi bado ipo na haijafutwa au kutolewa Uamuzi, pata ushauri wa kisheria juu ya Nini hasa unapaswa kufanya, Nini hasa kinaendelea au kinachopaswa kufanyika.
3. Je, wewe ni Msimamizi halali wa Mirathi ya Marehemu Mama yako/yenu? Je, baba yako bado yupo hai au naye tayari ameshatangulia mbele za haki? Haujaeleza kuhusu suala hili kwenye hili bandiko lako.
4. Aidha, Chukua tahadhari kubwa sana kuhusiana na suala la Ukomo wa Muda wa Kuanzisha Kesi za Madai ya Ardhi kwenye masuala ya namna hii, hususani kuhusiana na Sheria ya Ukomo (The Law of Limitations Act). Usipokuwa Mwangalifu unaweza ukaanzisha Madai halali kabisa lakini unaweza ukawekewa Pingamizi la Kisheria kuhusu Ukomo wa kuanzisha Kesi Kama hiyo na unaweza ukapoteza haki zako zote kabisa sambamba na Kutozwa Faini kwa Usumbufu.
5. Ikiwezekana, unaweza kwenda kuonana na Wanunuzi wa Ardhi inayoshibishaniwa ili kuweza kuona namna ya kulimaliza suala hilo kwa njia za mazungumzo ya mezani kuliko kwenda Mahakamani.
Asante kwa ushauri! Mimi ndio msimamizi wa mirath nilie teuliwa kwa taratibu zote kabisa baada ya kikao kufanyika, pia mzee yupo lakin hawezi kuzungumza alipata ugonjwa wa kiharusi miaka 15 iliyopita,. Hata mimi na prefer zaid nikae nao mezani tuyamalize ila ikishindikana itabid twende mahakamani!
 
Haikufika hatua ya kwenda mahakamani ilikuwa kwenye hatau ya majibishano ya kimaandishi baina ya mawakili wa pande mbili, pia msimamiz wa mirath ni mimi mwenyewe
Hao Mawakili walikuwa wanajibizana kwa maandishi katika muktadha upi? Walikuwa wanajibizana kwa barua za kawaida Kama wafanyavyo watu wa kawaida huko mitaani au walikuwa wanajibizana kwa maandishi katika Kuwasilisha submission za hoja za kimahakama kwa Kesi iliyokuwa ikiendelea Mahakamani?
Tafadhali, ufafanuzi wa kina kabisa unahitajika hapa. Kwa Nini hao Mawakili walikuwa wanajibizana kwa maandishi endapo kama hapakuwa na Kesi iliyokuwa ikiendelea Mahakamani????

Asante kwa ushauri! Mimi ndio msimamizi wa mirath nilie teuliwa kwa taratibu zote kabisa baada ya kikao kufanyika, pia mzee yupo lakin hawezi kuzungumza alipata ugonjwa wa kiharusi miaka 15 iliyopita,. Hata mimi na prefer zaid nikae nao mezani tuyamalize ila ikishindikana itabid twende mahakamani!

Je, unataka kusema kwamba huyo baba yako amepoteza kabisa kwa 100% uwezo wake wote wa kuongea au uwezo wa kuwasiliana hata kwa njia ya maandishi? Is it??
Ukitathmini haya Maelezo yako, Naona hapa kama kuna 'stori nzito sana' umeificha nyuma ya pazia jeusi.

Kwa scenario hii, endapo kama utaamua kwenda kufungua Kesi Mahakamani ili kudai Ardhi hiyo itakulazimu kuwashitaki watu wote wawili waliohusika kwenye Mauziano ya Ardhi hiyo. Watu hao utakaopaswa kuwashitaki Mahakamani ni:-
1. Muuzaji wa Ardhi inayobishaniwa ambaye ni Baba yako mzazi uliyenaye.
2.Mnunuzi wa Ardhi hiyo, ambaye ni Baraza la Wadhamini la Kanisa.
 
Kijana haki haiombwi wala huhitaji ushauri namna ya kuipata haki yako... Pambana hadi uhai wako wa mwisho hakuna kumuachia Mungu...
Ukishindwa kesi anza kutoa roho kimya kimya ya kila mtu aliyehusika kudhulumu haki yenu... Kisasi ni ibada kisasi ni haki 🔥 hakuna muda wa kulialia
 
Nashukuru kwa ushauri mzuri kiongozi! Uwezo wa kumlipa wakili ninao lakin pia nataka nikae nao mezani kwanza kama tutaweza kuyamaliza mezani fresh wakigoma basi tutakutana mahakamani
Unayo barua ya usimamizi wa mirathi?
 
Back
Top Bottom