NegligibleUtata umeibuka Kenya mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi! Hoja zilizoibuliwa mara baada ha kutangazwa matokeo ni asilimia zilizopatikana kwa kila mgombea kiasi ukijumlisha unapata 100.01% na sio 100%!
Kila mmoja anasema lake huko Kenya, wengine wanadai Error za kawaida wengine wakisema kuna kura zimeongezwa kinyume na utaratibu!
Sina shakha Raila anaenda mahakamani ila moja ya hoja itakayoibuka basi ni ya hii Percentage kufikia 100.01%. Wataalam wa Hesabu Jamii Forums mnasemaje?
View attachment 2325456
Yaani hata zingekuwa decimal points kumi. Una takiwa zijijumlishwa ziwe 100%Madhara ya kukaribishia hayo. Mfano unakuta Odinga ana 48.846 wao wakaona iwe 2 decimal places.
Mfano hai:
Jumla ya kura ukijumlisha ni: 14,213,027
Rutto amepata: 7,176,141
Ambazo ni Asilimia: 50.48988508922132
Wao kwa undezi wameandika 50.49
0.01 ni Kura 1420..kinachoonekana hapo ni uchakachuaji,na kwa maelezo ya raila Kama kweli mwenyekiti wa tume hana mamlaka ya kutangaza matokeo peke yake Basi Pana jamboKwamba mahakama itengue ushindi wa Ruto kisa hivyo vi decimal places😊. NEVER.
Curable error.Utata umeibuka Kenya mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi! Hoja zilizoibuliwa mara baada ha kutangazwa matokeo ni asilimia zilizopatikana kwa kila mgombea kiasi ukijumlisha unapata 100.01% na sio 100%!
Kila mmoja anasema lake huko Kenya, wengine wanadai Error za kawaida wengine wakisema kuna kura zimeongezwa kinyume na utaratibu!
Sina shakha Raila anaenda mahakamani ila moja ya hoja itakayoibuka basi ni ya hii Percentage kufikia 100.01%. Wataalam wa Hesabu Jamii Forums mnasemaje?
View attachment 2325456
Kwa mfano ukiwa namba yenye desimali nne kisha ukazikaribisha kwenye namba ya ukamilifu ukifanya majumuisho mwishoni lazima asilimia itazidi kama inavyoonekanaNaunga mkono
Sisi HKL hii hesabu imetuvuruga
Approximate inahusika na vitu na sio watuMadhara ya kukaribishia hayo. Mfano unakuta Odinga ana 48.846 wao wakaona iwe 2 decimal places.
Mfano hai:
Jumla ya kura ukijumlisha ni: 14,213,027
Rutto amepata: 7,176,141
Ambazo ni Asilimia: 50.48988508922132
Wao kwa undezi wameandika 50.49
Kama hujui nyamaza kimya kuliko kuandika Kwa ushabiki!Approximate inahusika na vitu na sio watu
Pale hesabu ilipaswa iwe 100%
Kaka unajua, [emoji119][emoji119][emoji119]Madhara ya kukaribishia hayo. Mfano unakuta Odinga ana 48.846 wao wakaona iwe 2 decimal places.
Mfano hai:
Jumla ya kura ukijumlisha ni: 14,213,027
Rutto amepata: 7,176,141
Ambazo ni Asilimia: 50.48988508922132
Wao kwa undezi wameandika 50.49
Hiyo hesabu mbona mzee kikwete anaijuaUtata umeibuka Kenya mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi! Hoja zilizoibuliwa mara baada ha kutangazwa matokeo ni asilimia zilizopatikana kwa kila mgombea kiasi ukijumlisha unapata 100.01% na sio 100%!
Kila mmoja anasema lake huko Kenya, wengine wanadai Error za kawaida wengine wakisema kuna kura zimeongezwa kinyume na utaratibu!
Sina shakha Raila anaenda mahakamani ila moja ya hoja itakayoibuka basi ni ya hii Percentage kufikia 100.01%. Wataalam wa Hesabu Jamii Forums mnasemaje?
View attachment 2325456
Wewe ndiyo mpuuzi ...wewe unadhani .mambo ya kura ni sawa na biashara ya wanzuki[emoji856][emoji856]Kama hujui nyamaza kimya kuliko kuandika Kwa ushabiki!
[emoji23][emoji23]Wewe ndiyo mpuuzi ...wewe unadhani .mambo ya kura ni sawa na biashara ya wanzuki[emoji856][emoji856]