cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,118
- 1,797
Habar za asubuh wana jf...!
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza, ndugu yenu natumia simu ya samsung A04
Hivi juzi nili restore sababu simu ilikuwa nzito sana hivyo nikaamua kufuta vitu vyote ili nianze ku install vitu vingine upya
Sasa baada ya kumaliza huo mchakato mzima wa ku restore na kufanya installation upya, simu yangu ikapata shida upande wa upakuaji wa vitu (downloads)
Mfano nikitaka kupakua kitu kupitia google inaniletea meseji inayosema
No apps found to open link au nikiomba nitumiwe link ili ni download, nikitumiwa hiyo link nikitaka ku download natumiwa ujumbe ule ule kwamba
No app found to open link
Nikajaribu kuwapigiahuduma kwa wateja jibu walilonipa sijaridhishwa nalo kabisa, wameniambia niende kwa ma i.t
Sasa nikaona ni vyema niweke bandiko umu kwenye jukwaa pendwa la technology kwa kuamini kwamba ufimbuzi wa changamoto yangu utapatikana
Sababu jf hawajawahi kushindwa
Asanten na karibuni kwa ushauri
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza, ndugu yenu natumia simu ya samsung A04
Hivi juzi nili restore sababu simu ilikuwa nzito sana hivyo nikaamua kufuta vitu vyote ili nianze ku install vitu vingine upya
Sasa baada ya kumaliza huo mchakato mzima wa ku restore na kufanya installation upya, simu yangu ikapata shida upande wa upakuaji wa vitu (downloads)
Mfano nikitaka kupakua kitu kupitia google inaniletea meseji inayosema
No apps found to open link au nikiomba nitumiwe link ili ni download, nikitumiwa hiyo link nikitaka ku download natumiwa ujumbe ule ule kwamba
No app found to open link
Nikajaribu kuwapigiahuduma kwa wateja jibu walilonipa sijaridhishwa nalo kabisa, wameniambia niende kwa ma i.t
Sasa nikaona ni vyema niweke bandiko umu kwenye jukwaa pendwa la technology kwa kuamini kwamba ufimbuzi wa changamoto yangu utapatikana
Sababu jf hawajawahi kushindwa
Asanten na karibuni kwa ushauri