mwenyeKitu
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 946
- 771
Kuna kitu nakiona kinaendelea ambacho kisipoangaliwa kinaweza kuleta madhara makubwa. ...
Kumekuwa na kikundi cha watu wanaoitwa maspecialist wa magonjwa mbalimbali . ..hiki kikundi cha watu mara nyingi ni watumishi wa umma ...lakini jambo la ajabu wanakuwa na vijiwe vyao mtaani ambavyo wagonjwa wanaelekezwa huko.
Kwa kuwa taaluma zetu ni kwa manufaa ya umma ni vyema ikawa inapatikana kwenye hospitali za umma tu na sio kuwa na double standard..
Napendekeza Kama mtaalam ni mwajiriwa wa serikali asiruhusiwe ku practice privately ili kuleta tija kwenye vituo vya serikali.
Kumekuwa na kikundi cha watu wanaoitwa maspecialist wa magonjwa mbalimbali . ..hiki kikundi cha watu mara nyingi ni watumishi wa umma ...lakini jambo la ajabu wanakuwa na vijiwe vyao mtaani ambavyo wagonjwa wanaelekezwa huko.
Kwa kuwa taaluma zetu ni kwa manufaa ya umma ni vyema ikawa inapatikana kwenye hospitali za umma tu na sio kuwa na double standard..
Napendekeza Kama mtaalam ni mwajiriwa wa serikali asiruhusiwe ku practice privately ili kuleta tija kwenye vituo vya serikali.